Organic chemistry na zile reaction zilikuwa zinaboa sana..Mziki ulikua kwenye Organic Chemistry mwalimu wetu alikua muhaya yani anavyoongea huwezi muelewa vzr...aisee somo nililichukia...chemstry ni nomaa....mimi nilikua nakomaa na paractical aisee..
Basi umenyeni hapo ndo nimepiga, weekend kwenda mjini ilikua ruksa tulikua tunasikia raha kweli kuvaa vile vi t shirt vya shule... Mi mwenyewe nilikua hustler nimefanya sana deals nyingi shule, ila kunywa Yale maji ya mtoni pale ni kitu kilinishinda... Jioni ikifika Kuna mademu tulikua tunawapigisha tizi kwenye kile kimlima Cha kupanda pitch hukosi hata buku 2 ya kusogeza siku😃😃
Sijawahi kusoma kwa usongo kuanzia o level nilikua nasoma kiasi na relax kabisa
Hizi elimu za kukariri hizi ni shida. Hao wote unaowasifia ni wakali wa kukariri maswali na majibu. Ndiyo maana ikija kwenye real life, wanakuwa wasomi jina na sifa zao zinabaki kwenye historia kama unavyosimulia. Jmani hebu nendeni nchi zilizoendelea muone ufundishaji na mitihani yao ikoje.Tuwatoe hapo tuwaweke tabora boys, nimechanganya desa hapo
Nimesoma hiyo hiyo PCM, nimefika chuo Mwaka wa kwanza tumesoma hesabu zile zile tulizokuwa tunasoma advance, mkifika mwaka wa pili wale waliosoma diploma ndio wanakuja kujiunga na nyinyi kama mwaka wao wa kwanza, na wanakuwa na advantage ya kuwa wame specialize mapema haswa kwa wale waliokuwa wanajitambuaSijui Kwa combination zingine Ila Kwangu Mimi PCM elimu ya advance ni muhimu kuliko kila kitu...
Pale pa kuoshea vyombo daraja dogo majamaa walikua wanakunywa maji ya pale, sema uzuri chanzo kilikua palepale, nilienda nikakuta madogo wamekata topic zote wameanza kufukia za form 6 hapo Mimi mweupe teee nikaingiza baridi....Sasa mmenye umesoma Ilboru halafu unakuwa muoga hivyo? Au ulikuwa unaogopa kukatiza peke yako night kali pale kidaraja kidogo (pa kuoshea vyombo) kwenda prep...
Hyo topic moja ya mechanics umkute mgote... Unaweza kujaza hata makaunta 10Yaani mi nilikua naulizia naambiwa physics topic 3 tu form 5, chemistry topic 2 tu nikasema hii elimu kitonga sana.... Aisee kufika nilichoka... Hio mechanics mpaka uimalize
Umemaliza Pugu na kina Hassan ally sasa hivi engineerIle pepa ya 2013 ilikuwa balaa... Nimemaliza pugu pcm.... Nakumbuka, ile pepa natoka tu kwa mtihani wa adv math 1... Kichwa kinuma balaaa[emoji23][emoji23]
watu kama st.Francis ukipata 1-11 unajiona umefeli...Ila siku hizi division one zimekuwa mchelemchele, yaani shule za kawaida tu wanatoa 1.7 nne , tatu daaah!
Uko sahihi kbsaHizi elimu za kukariri hizi ni shida. Hao wote unaowasifia ni wakali wa kukariri maswali na majibu. Ndiyo maana ikija kwenye real life, wanakuwa wasomi jina na sifa zao zinabaki kwenye historia kama unavyosimulia. Jmani hebu nendeni nchi zilizoendelea muone ufundishaji na mitihani yao ikoje.
Inapendeza sana...
ACHA TU MKUU.Madogo sa ivi wanajenga vibanda kama hawana akili nzuri, enzi zetu private zilizokua zinanusa top 10 advance ilikua feza boys, kifungilo na Marian girls Hawa nao walikua watabe
Duuh! TO anakuwa ticha wa CHUO kikuu! Hayo ni matumizi mabaya ya ubongo.Mtanzania pekee aliyekuwa T.O O-level na Advanced level ni Martin Chegere,Akaenda mlimani akawa best student,masters akaongoza,PhD Sweeden pia akaongoza!
now yuko Udm anapiga madogo pindi.
Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma
Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6
Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....
Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja
Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)
Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6
Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.
Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)
Hii inapoteza ladha za enzi zetu, kipindi hicho kujenga vibanda Saba sio poa.. mwaka wetu o level civics hapakua na A Tanzania nzima... Nilikua mbabe sana wa civics kuja kuangalia matokeo nakuta Nina B sikuamini aisee kuja kuskia Tanzania nzima hakuna A😃😃watu kama st.Francis ukipata 1-11 unajiona umefeli...
Darasa limejaa 1.7View attachment 2882659
[emoji23] NIMECHEKA Kama mazuriSitaki hata kukumbuka ule mziki wa mkate wa physics....kwanza nilijilaumu kwanini nimeenda kusoma PCB..nawalaumu walimu kwa kunipa bichwa kuwa unaweza ww lazima uende PCB...nilochokua naweza ni Biology tuu....hayo mengine ni practical ndo zilikua zinanisaidia...Phyisics ngumu nyiee...mpk leo sijui hata kuunga balbu iwake...
MWANANGU NIPO TOWN NAUNGA UNGA MWANA NIPE CONNECTION AZA BOY KITAMBO [emoji2935]Nafurahi kugundua kuwa nakujua na vile ulisema wewe ni ngumi mkononi basi mpaka hapa wewe mimi nakujua vilivyo ndugu yangu .
Mwenzio mbali na kurukaruka ila nilienda Muhimbili na badae huko nje vipi mwanangu ulitobolea wapi mzee baba ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hii ipo sanaMi nakumbukuka tu kun jamaa alipata form 4 One akaenda PCB akapata Ziro form 6