Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Tarehe 12/11/2008 Uongozi wa UDSM ulilazimika kufunga chuo kwa muda usiojulikana Kutokana fujo zilizotokea chuoni pale kwa siku 3 mfululizo! Nakumbuka hapa kulikua na nguvu ya siasa pia! Kikubwa ni kwamba uongozi wa UDSM ulikua unamtaka Pasience Mlowe awe Rais wa DARUSO wakati kwa wanafunzi walikua wanamtaka ODONG ODWAR! Naikumbuka siku hii kwani nilinusurika ajali wakati nawakimbia FFU waliokua na uchu wa kutoa kipigo kwa wanafunzi!
 

Umenikumbusha mbaali sana, enzi za kunji la kukomaa ifutwe 40% kisha kukomaa yasiwepo madaraja. Kipindi hicho Udsm ilikua Udsm kweli siyo hizi nyakati za leo. Odoooong...
 
Mkuu pole sana kwa hilo tukio mkuu, wewe ulikuwa leader au follower?

 
Mkuu hata mimi huwa najiuliza sana, Ninaamini Mh. Kawambwa hatamsahau Rich Mwita kabisa, maana rich alimfanya kawambwa avue koti, kisha akavua tai, halafu akalikimbia jukwaa, hahaha

yule Rich sijui atakua wapi sasa....
 
Ni list ndefu iliyofukuzwa 2011,
1. Alphonce Lusako (Emekha)
2. Evarist Ambrose Silayo
3.Baraka Monance (kijicho)
4. Mabirika Mawazo (Al-shabab)
5. Helen Philip Mushi (Al-shabibi)
6. Fredy Chacha Hatari
7. Elius Mwambapa
8. Francis Ndunguru
9. Japhet Mwashimaha (Sokwe)
10. Legan Michael
11. Bocasa
na viongozi wa DARUSO kama
1. Daniel Naftal (Waziri wa mikopo)
2. Paul Mkenda (Menyekiti, UDSL)
3. Ado Shaibu (katibu UDSL)
4. Nicodemus Kazimil
na wengine siwakumbuki majina.
Ila ktk list hii nilikuwa namkubali sana Ambrose Evarist Silayo, jamaa ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja, I can see a future leader in him. Pia akina emekha na wengine wote ni wazuri ktk harakati, but mi nilimkubalisana Silayo.
 
Mkuu tujuze, huyo ni nani na ni wa zama zipi? ili tukumbuke mapito.

FILBERT NICKSON...
huyu dogo ni puto kweli kweli, too weightless.
Hana madhara yoyote, mpk najiuliza alipataje madaraka
 
Mkuu umegusa sana, Umenikumbusha kijicho ila umemsahau rafiki yake aliitwa Bokasa.

Kijicho alikuwa hana time ya kubembeleza, yeye anatoa amri watu wanasonga mbele.

 
Ni list ndefu iliyofukuzwa 2011,
1. Alphonce Lusako (Emekha)
2. Evarist Ambrose Silayo
3.Baraka Monance (kijicho)
4. Mabirika Mawazo (Al-shabab)
5. Helen Philip Mushi (Al-shabibi)
o.
sijui ndio huyo al shabab alisema akifukuzwa chuo atajua mambo mawili kuweka risasi katika bastola na kushoot, alifukuzwa na hayo mambo mawili sikuona kafanya.

wanaharakati wengi walikua wanaume enhee
 
Rich
alikuwa na amsha amsha sana. Kuna siku alikuja mabibo usiku, katikati
ya block e na d pale, yaani mabibo nzima ilizizima utadhani kulikuwa na
tetemeko la ardhi.

Rich alikuwa anajua sana kukonga nyoyo za watu wakati wa shida.

kweli??????
nilikua nampenda........, alikua ana influence acha.....
 
Mkuu umegusa sana, Umenikumbusha kijicho ila umemsahau rafiki yake aliitwa Bokasa.

Kijicho alikuwa hana time ya kubembeleza, yeye anatoa amri watu wanasonga mbele.

Bokasa sijamsahau. Cheki.kwenye list ni winger ya kushoto
 
udsm ilikua enzi zile tunapinga uanzishwaji wa bodi ya mikopo siyo sasa. nina mwaka wa tano sijasikia kunji udsm
 
Waliokuwa DARUSO ndio wengi wao wamerudishwa. Al-shabibi alinikosha kwenye ile ruti ya kudai buku kumi, wakati askari wanataka kumkamata, aliingia mtaroni akatoka amejaa matope, wakamuacha aende zake.

nasikia al shebibi alirudishwa. Ananikoshaga sauti yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…