Sisi tulikua tunaita ku komunika = mkate + majiHahahaaa me nilikua napiga pasi ndefu za lampard na maji yakudownload.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tulikua tunaita ku komunika = mkate + majiHahahaaa me nilikua napiga pasi ndefu za lampard na maji yakudownload.
udsm ilikua enzi zile tunapinga uanzishwaji wa bodi ya mikopo siyo sasa. nina mwaka wa tano sijasikia kunji udsm
Sisi tulikua tunaita ku komunika = mkate + maji
wakuu inaonekana wanaharakati wengi walikuwa wanatoka mikoa ya kanda ya ziwa...
kweli si kweli?
Mwita mpaka alifungia
ndoa pale pale Chuo,,jamaa kweli alikua fisadi japo watu walimpigania na
walikua wanampenda sana kuliko makoye.
Awamu iliyofuata yaani Julius Mtatiro ndo kama alikua raisi
kabisa.
Sisi tulikua tunaita ku komunika = mkate + maji
Hapo maji siyo uhai wala klm kitu chaku download:sly: na jug la roommate[/QUOT]
Kama ulikuwepo mkuu.
Ni kweli mkuu, sio wanaharakati tu bali hata viongozi wengi wa DARUSO wametokea maeneo ya ziwani kule.
Huyu ndio Mwita huyu tunayemuona CDM leo hii?
Mwita Mwikwabe,ndio mwenyewe mkuu,
Baada ya kumaliza alifanya kazi CCM,wakazinguana .akahamia CDM.
Pumbafu kumbe UDSM ya Juzi tu Hata maziwa yanatoka puani? Hao wapuuzi tu!Odong sikumkuta, ila huwa nashindwa kuamini kama alikuwa na nguvu kubwa ya ushawishi kuliko ile ya Mabirika Mawazo (Al-shaabab)
Kumbe anapenda down the corridor?
Hahaha, siku ile tupo utawala alishabibi akasema "mke mwema anatoka kwenye matatizo"
Siku hizi kapendeza yupo pande za tabata mawenzi. I think alipata kazi kwenye one of the leading printing company in TZ. Alshabibi namkumbuka alikuwa mtata tangu anasoma Bagamoyo sec, alikuwa na jamaa yake (namwonaga anatangaza mlimani TV cku hizi), maticha walimpiga sana binti hasikii, alikuwa amezimika kwa chalii
Uloi nga mâché68;10167347 said:Pumbafu kumbe UDSM ya Juzi tu Hata maziwa yanatoka puani? Hao wapuuzi tu!
Umenikumbusha mbali Excel. Nilimuonea huruma mno kawambwa daah hasa baada ya kutoka pale