flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 591
Habari zenu wadau,
Poleni na kazi na mihangaiko ya maisha. Ninayo furaha ya kuwashirikisha kwenye Jambo la manufaa na lenye heri.
Kama Kichwa Cha habari kinavyosema, nahitaji watu jinsia zote wenye ari na uchungu wa maisha na mafanikio kwa ujumla ambao nitashirikiana nao kwenye miradi mbalimbali ikiwemo kilimo cha Greenhouse pia na ufugaji wa kuku wa nyama na kuku wa mayai.
Eneo tayari lipo Mbezi na lenye maji ya kutosha. Pia banda kubwa la kufugia kuku wa nyama na wa mayai lipo tayari.
KINACHOHITAJIKA:
Rasilimali watu kwa jili ya uanzilishi na uzalishaji na usambazaji wa bidhaa zitakazoanza kuzalishwa. Ili kufanikisha Jambo hili kwa yeyote mkazi wa Dar, njoo PM kwa maelekezo zaidi na kujua tarehe ya kikao cha kwanza.
Na baada ya idadi ya watu wanaohitajika kufika itapangwa siku ya kikao na kujadili jinsi miradi na Mambo mengine yatakavyokuwa.
Pia, kikao kitafanyika eneo husika la mradi kwa maana wadau wapate kufika na kuona eneo na baada ya hapo kikao kitafanyika hapo hapo ili utekelezaji uanze Mara moja baada ya kujadili na kuweka misingi imara.
Karibuni sana kwenye kufanikisha jambo hili. Pia lengo la kupenda kushirikisha wadau wengine zaidi ni kupanuana mawazo na kujenga network imara kwa kuanzisha miradi mbalimbali mbali na wazo tajwa.
Tukumbuke: UMOJA NI NGUVU.
KARIBUNI SANA.
Poleni na kazi na mihangaiko ya maisha. Ninayo furaha ya kuwashirikisha kwenye Jambo la manufaa na lenye heri.
Kama Kichwa Cha habari kinavyosema, nahitaji watu jinsia zote wenye ari na uchungu wa maisha na mafanikio kwa ujumla ambao nitashirikiana nao kwenye miradi mbalimbali ikiwemo kilimo cha Greenhouse pia na ufugaji wa kuku wa nyama na kuku wa mayai.
Eneo tayari lipo Mbezi na lenye maji ya kutosha. Pia banda kubwa la kufugia kuku wa nyama na wa mayai lipo tayari.
KINACHOHITAJIKA:
Rasilimali watu kwa jili ya uanzilishi na uzalishaji na usambazaji wa bidhaa zitakazoanza kuzalishwa. Ili kufanikisha Jambo hili kwa yeyote mkazi wa Dar, njoo PM kwa maelekezo zaidi na kujua tarehe ya kikao cha kwanza.
Na baada ya idadi ya watu wanaohitajika kufika itapangwa siku ya kikao na kujadili jinsi miradi na Mambo mengine yatakavyokuwa.
Pia, kikao kitafanyika eneo husika la mradi kwa maana wadau wapate kufika na kuona eneo na baada ya hapo kikao kitafanyika hapo hapo ili utekelezaji uanze Mara moja baada ya kujadili na kuweka misingi imara.
Karibuni sana kwenye kufanikisha jambo hili. Pia lengo la kupenda kushirikisha wadau wengine zaidi ni kupanuana mawazo na kujenga network imara kwa kuanzisha miradi mbalimbali mbali na wazo tajwa.
Tukumbuke: UMOJA NI NGUVU.
KARIBUNI SANA.