😳 😳 😳Nafuatilia gharama za kutuma na kupokea pesa kupitia western union kama zitakua nafuu no way out miamala itapitia huko.
Mtafuata geto bhana, benk kote huko Kufanya nn sasaSasa hivi mtatuwekea benki hakuna shida wapendwa wetu
Sasa nauli tutatoa wapi?🤣Mtafuata geto bhana, benk kote huko Kufanya nn sasa
Mwambie bodaboda akupeleke, ukitoa unampa chakeSasa nauli tutatoa wapi?🤣