Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
Kuna mdudu Toyota wamemuiga walipokuwa wanatengeneza hiyo Will Vs nimemsahau jinaGari ya kisenge mbaya kabisa, i Think its the most Ugliest car made by Toyota. "Toyota BB" pia "Toyota Will Vs"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mdudu Toyota wamemuiga walipokuwa wanatengeneza hiyo Will Vs nimemsahau jinaGari ya kisenge mbaya kabisa, i Think its the most Ugliest car made by Toyota. "Toyota BB" pia "Toyota Will Vs"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mdudu Toyota wamemuiga walipokuwa wanatengeneza hiyo Will Vs nimemsahau jina
ukikumbuka tuwekee hapaKuna mdudu Toyota wamemuiga walipokuwa wanatengeneza hiyo Will Vs nimemsahau jina
😂😂😂Nahisi ni kakakuona kama sijakoseaukikumbuka tuwekee hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi roho za paka mno.Nina Nissan Hardbody ya mwaka 1988....ilipaki toka 1996 mwaka huu 2020 nkanunua battery mpya nkafanya overhaul gari ikawaka nkashangaa sana....bado iko vzurii sana....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimeo hichoNina swali kuhusiana na hii gari.
Kwa nini sokoni, kwa iliyotumika hapa nchini, Bei yake huwa chini sana??
Je huwa zinatatizo gani common hizi gari??
Tufafanulie kidogo mjumbe.Kimeo hicho
We're sailing the same boat ...ukimpata mtaalam wa Navigation system unishtue mkuu...inanipa shida sana hii!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chembe cha Moyo.Nina swali kuhusiana na hii gari.
Kwa nini sokoni, kwa iliyotumika hapa nchini, Bei yake huwa chini sana??
Je, huwa zinatatizo gani common hizi gari?
Hapana nimeibadilisha mwaka janaBado unayo hii gari? Uliweza kutatua?
How..?Chembe cha Moyo.
Sure mkuu...Umeisahau Nissan Teana
Sawa kiongoziSure mkuu...
Tunathamini uwepo wake...
Zipo hapa Vingunguti CFSA Motors, kama unataka mpya kabisa.Wakuu wapi naweza pata side mirrors za Nissan Hardbody? Pamoja na Indicators?
Bei zinaweza range vp Mkuu?Zipo hapa Vingunguti CFSA Motors, kama unataka mpya kabisa.
Inaweza ikawa ni sawa kwa asilimia fulani....kwa sababu magari mengi ya Nissan yanachagua chagua mafuta....sasa kama mafuta ni ya low quality, yanaweza yakawa hayaungui vizuri, yakafanya oxygen sensor ichafuke sana...ndiyo upate hiyo ckeck engine ligh.Naomba msaada wenu wakuu, nilipeleka Nissan-X-Terra kule kwa dealer ambaeni D.T.Dobie ya zamani kuhusu gari kuonesha taa ya CHECK ENGINE kuwaka hata baada ya kuifanyia service!! Wakaniambia sababu kubwa ya hiyo taa kuwaka ni sababu ya grade ya Mafuta tunayotumia Kuwa ya chini ukilinganisha na yale ya ulaya ndio maana taa inawaka!! Je hiyo ndio sababu ya hiyo taa ya check engine kuwaka?