Kwa wamiliki wote wa magari ya Nissan tukutane hapa

Kwa wamiliki wote wa magari ya Nissan tukutane hapa

Hizi ndio kero ambazo hutakaa uzipitie ukiwa na Toyota, unless ununue 2021 model iliotoka kiwandani mwezi huu halafu ikuletee shida
Nissan inataka ufuate preventive maintenance program yake kama wanavyoshauri nissan wenyewe, sasa wabongo wengi hawawezi kutokana na hali ngumu ya kiuchumi/ubahili na hapo ndipo toyota inapoonekana ni gari zuri kwa mazingira ya afrika maana yenyewe hata usipofuata maintenance kama walivyoshauri wenyewe toyota kwa kiasi kikubwa sana bado utadunda nayo tu. Yaani nissan ni sawa na mwanamke ambaye anataka mwanaume mwenye hela ambaye anaweza kumtunza kwa kiasi kikubwa. But toyota ni mwanamke ambaye siku una hela poa siku zimepungua poa tu unapata mapenzi kama yote. Kingine Nissan ni sensitive kwenye mifumo yake mingi lakini toyota siyo sensitive sana. Yaaan kikubwa kama mtu hayuko tayari kutoa hela kuihudumia nissan vile vitu inataka hii si gari ya kuwa nayo utaishia kuipa sifa mbaya tu wakati kumbe uwezo wako kiuchumi hauendani nayo. Mtu huna hela ya coolant origional ushazoea maji tena ya chumvi kisimani unategemea nini kwa Nissan lazima ikukatae tu, mtu ashazoea toyota plug za elfu 10 kwa moja twende, oil za kupima, na mafuta machafu ya oilcom twendeee
 
Nissan inataka ufuate preventive maintenance program yake kama wanavyoshauri nissan wenyewe, sasa wabongo wengi hawawezi kutokana na hali ngumu ya kiuchumi/ubahili na hapo ndipo toyota inapoonekana ni gari zuri kwa mazingira ya afrika maana yenyewe hata usipofuata maintenance kama walivyoshauri wenyewe toyota kwa kiasi kikubwa sana bado utadunda nayo tu. Yaani nissan ni sawa na mwanamke ambaye anataka mwanaume mwenye hela ambaye anaweza kumtunza kwa kiasi kikubwa. But toyota ni mwanamke ambaye siku una hela poa siku zimepungua poa tu unapata mapenzi kama yote. Kingine Nissan ni sensitive kwenye mifumo yake mingi lakini toyota siyo sensitive sana. Yaaan kikubwa kama mtu hayuko tayari kutoa hela kuihudumia nissan vile vitu inataka hii si gari ya kuwa nayo utaishia kuipa sifa mbaya tu wakati kumbe uwezo wako kiuchumi hauendani nayo. Mtu huna hela ya coolant origional ushazoea maji tena ya chumvi kisimani unategemea nini kwa Nissan lazima ikukatae tu, mtu ashazoea toyota plug za elfu 10 kwa moja twende, oil za kupima, na mafuta machafu ya oilcom twendeee
Hata toyota anaelekea hukohuko.

Toyota za sasa ni sawa na nissan.
 
Nissan inataka ufuate preventive maintenance program yake kama wanavyoshauri nissan wenyewe, sasa wabongo wengi hawawezi kutokana na hali ngumu ya kiuchumi/ubahili na hapo ndipo toyota inapoonekana ni gari zuri kwa mazingira ya afrika maana yenyewe hata usipofuata maintenance kama walivyoshauri wenyewe toyota kwa kiasi kikubwa sana bado utadunda nayo tu. Yaani nissan ni sawa na mwanamke ambaye anataka mwanaume mwenye hela ambaye anaweza kumtunza kwa kiasi kikubwa. But toyota ni mwanamke ambaye siku una hela poa siku zimepungua poa tu unapata mapenzi kama yote. Kingine Nissan ni sensitive kwenye mifumo yake mingi lakini toyota siyo sensitive sana. Yaaan kikubwa kama mtu hayuko tayari kutoa hela kuihudumia nissan vile vitu inataka hii si gari ya kuwa nayo utaishia kuipa sifa mbaya tu wakati kumbe uwezo wako kiuchumi hauendani nayo. Mtu huna hela ya coolant origional ushazoea maji tena ya chumvi kisimani unategemea nini kwa Nissan lazima ikukatae tu, mtu ashazoea toyota plug za elfu 10 kwa moja twende, oil za kupima, na mafuta machafu ya oilcom twendeee
Mkuu umeandika vizuri lakini toyota za siku hizi hazina tofauti na Nissan kimifumo...Tofauti kubwa inakuja kwenye upatikanaji wa spea na resale value.

Kwa mfano injini ya toyota Brevis haiwezi kuvumilia shida kama injininza BMS2000 zilizopo kweny GX100,110

Halikadhalika injini za Crown, Mark x 4GR,3GR,2GR haziwezi kuhimili shida na majanga kama BMS 2000...

Yaani hizo Injini mifumo yake haina tofauti na Injini za Nissan, tofauti kibwa ni mfumo wa VVTi ambao kwenye Nissan haupo.
 
Mkuu umeandika vizuri lakini toyota za siku hizi hazina tofauti na Nissan kimifumo...Tofauti kubwa inakuja kwenye upatikanaji wa spea na resale value.

Kwa mfano injini ya toyota Brevis haiwezi kuvumilia shida kama injininza BMS2000 zilizopo kweny GX100,110

Halikadhalika injini za Crown, Mark x 4GR,3GR,2GR haziwezi kuhimili shida na majanga kama BMS 2000...

Yaani hizo Injini mifumo yake haina tofauti na Injini za Nissan, tofauti kibwa ni mfumo wa VVTi ambao kwenye Nissan haupo.
basi huko tuendako toyota zitaanza kuchukiwa na wabongo maana wabongo kwa kupenda vya kunyonga hatujambo.
 
Mkuu umeandika vizuri lakini toyota za siku hizi hazina tofauti na Nissan kimifumo...Tofauti kubwa inakuja kwenye upatikanaji wa spea na resale value.

Kwa mfano injini ya toyota Brevis haiwezi kuvumilia shida kama injininza BMS2000 zilizopo kweny GX100,110

Halikadhalika injini za Crown, Mark x 4GR,3GR,2GR haziwezi kuhimili shida na majanga kama BMS 2000...

Yaani hizo Injini mifumo yake haina tofauti na Injini za Nissan, tofauti kibwa ni mfumo wa VVTi ambao kwenye Nissan haupo.
Lifestyle ya watu inafanya hata magari yanayotengenezwa yaendane na uhalisia wa maisha ya watu.

Gari za sasa 80% ni hybrid.

Mifumo stand alone inaanza kuondoka mf. Petrol au diesel tu. Unakuta sahivi ni petrol hybrid au diesel hybrid.

Miaka 10 ijayo itakuwa ngumu kuagiza gari la petrol au diesel tu. Lazima hybrid iingie hapo.
 
basi huko tuendako toyota zitaanza kuchukiwa na wabongo maana wabongo kwa kupenda vya kunyonga hatujambo.
Ni kweli na ndiyo maana utakuta watu wengi wanalalamika Injini za brevis kimeo...D4 ile wabongo hawajua namna ya kuitunza..
 
Lifestyle ya watu inafanya hata magari yanayotengenezwa yaendane na uhalisia wa maisha ya watu.

Gari za sasa 80% ni hybrid.

Mifumo stand alone inaanza kuondoka mf. Petrol au diesel tu. Unakuta sahivi ni petrol hybrid au diesel hybrid.

Miaka 10 ijayo itakuwa ngumu kuagiza gari la petrol au diesel tu. Lazima hybrid iingie hapo.
Sure..
Ulaya na America kwa sasa ni mambo ya hybrid cars...

Hapa kwetu bado mtu anaagiza Rav Masawe yenye 3s..[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Nissan
Heshima kwenu wakuu,

Binafsi ningependa kwa wale wote ambao wamewahi kumiliki au wanamiliki na wale wenye ndoto za kumiliki magari ya kampuni ya NISSAN tukutane hapa tubadilishane uzoefu kulingana na aina ya NISSAN unayomiliki au uliyowahi kumiliki.

Ingependeza utueleze gari hilo la nissan umelimiliki kwa muda gani na ni changamoto zipi za kiufundi umekutana nazo na ulizitatua namna gani.

Hii inaweza kutusaidia kuondokana na dhana kwamba magari ya TOYOTA ndiyo yanayofaa kwa Tanzania na si vinginevyo.

Tukubali kwamba kuna kampuni nyingi za magari tofauti na TOYOTA za Japan na nje ya Japan ambazo zinatengeneza magari mazuri sana kuliko hata yale ya Toyota ila shida inakuja kwa mafundi wetu wanatukaririsha kuwa toyota ndiyo gari bora.

Kwa kuanzia labda niorodheshe baadhi ya models za NISSAN ambazo zimekuwa common hapa Tanzania.
1. Nissan Patrol
2. Nissan Safari
3. Nissan Murano
4. Nissan Elgrand
5. Nissan Serena.
6. Nissan Fuga
7. Nissan Dualis
8. Nissan X-Trail
9. Nissan Skyline
10.Nissan March
11.Nissan Tiida
12. Nissan Note
13. Nissan Blue bird
14. Nissan Sunny
15. Nissan Caravan
16.Nissan Juke
17.Nissan Terano
18. Nissan Wingroad

Unaweza kuongezea Nissan nyingine ambayo sijaitaja hapo.

Karibu tubadilishane uzoefu.View attachment 1055107

Sent using Jamii Forums mobile app
Nissan Pathfinder
 
Nissan inataka ufuate preventive maintenance program yake kama wanavyoshauri nissan wenyewe, sasa wabongo wengi hawawezi kutokana na hali ngumu ya kiuchumi/ubahili na hapo ndipo toyota inapoonekana ni gari zuri kwa mazingira ya afrika maana yenyewe hata usipofuata maintenance kama walivyoshauri wenyewe toyota kwa kiasi kikubwa sana bado utadunda nayo tu. Yaani nissan ni sawa na mwanamke ambaye anataka mwanaume mwenye hela ambaye anaweza kumtunza kwa kiasi kikubwa. But toyota ni mwanamke ambaye siku una hela poa siku zimepungua poa tu unapata mapenzi kama yote. Kingine Nissan ni sensitive kwenye mifumo yake mingi lakini toyota siyo sensitive sana. Yaaan kikubwa kama mtu hayuko tayari kutoa hela kuihudumia nissan vile vitu inataka hii si gari ya kuwa nayo utaishia kuipa sifa mbaya tu wakati kumbe uwezo wako kiuchumi hauendani nayo. Mtu huna hela ya coolant origional ushazoea maji tena ya chumvi kisimani unategemea nini kwa Nissan lazima ikukatae tu, mtu ashazoea toyota plug za elfu 10 kwa moja twende, oil za kupima, na mafuta machafu ya oilcom twendeee
Kwa kifupi tu Toyota anakusalimieni kwa salamu ya jamuhuri ya muungano! “Anasema acha ruti ziendelee”🤩🤩🤩
Nissan ni slay queen tupa kulee
 
basi huko tuendako toyota zitaanza kuchukiwa na wabongo maana wabongo kwa kupenda vya kunyonga hatujambo.
Hamna uzuri Toyota hakurupuki! Zitatoka Hybrid za makampuni mengi ila utashangaa ya Toyota inadumu mda mrefu zaidi!

Sahizi gari za kuchaji zinashika kasi sana dunia ya kwanza ni kama new evolution of cars. Wengi wanatumia lithium ion batteries ila shida kubwa ni low mileage na wear and tear timeframe. Zinachoka haraka na zinaenda umbali mfupi at full charge huku zikitaka masaa mengi kwenye charge!

Toyota alikuwa anafanyia utafiti Solid state battery technology na ndio ambayo atakuja nayo 2025 ambako wengi watakuwa washaangukia pua na ma lithium ion battery yao! Anakuja na gari ambayo itakupa convenience kama tu kukaa kwenye pampu ya petroli. Dakika 10 from 0-80% of charge kisha utembee kilometre 500 hivi kwa kila charge moja! No heating issues very safe and excellent endurance and performance battery!

Toyota amechelewa kwenda full electric ila nina hakika gari yake akitoa walioteseka kwengine kote watahamia huku!
 
Sure..
Ulaya na America kwa sasa ni mambo ya hybrid cars...

Hapa kwetu bado mtu anaagiza Rav Masawe yenye 3s..[emoji41][emoji41][emoji41]
Na hawa mafundi wakiendelea kukaza shingo wajanja wachache watatumia huo mwanya.
 
Na hawa mafundi wakiendelea kukaza shingo wajanja wachache watatumia huo mwanya.
mkuu tatizo mafundi wetu hawapendi kujiendeleza huko youtube kuna mavideo kama yote kuhusu ufundi wa magari lakini mwambie fundi link hiyo upate shule atakwambi shule ya nini
 
mkuu tatizo mafundi wetu hawapendi kujiendeleza huko youtube kuna mavideo kama yote kuhusu ufundi wa magari lakini mwambie fundi link hiyo upate shule atakwambi shule ya nini
Dogo akishanunua set ya box spanner, ameshamaliza maisha...hataki kusogea zaidi ya hapo..[emoji3][emoji3]
 
Kwa sasa gari yangu ni Nissan tu. Nikitoka Nissan ni gari za ulaya. Nimekuwa na Nissan Terrano 2, Nissan Note 2 na Xtrail. Pia naagiza Elgrand, dualis na Fuga Hybrid.

Ooohoo how I love Nissan! Riding is my passion...

Zipo stable barabarani, imara na spea ukifunga unasahau.

Tangu nihamie Nissan, no stress at all.
Bora watie moyo wanaotamani kununua wanunue wasiogope maneno
 
Back
Top Bottom