Kwa Wana JF wote; Nimewaza tu.

Kwa Wana JF wote; Nimewaza tu.

Umenena vyema, Ila ni lazima tufahamu kuwa maisha no yale yale whether ni jf life au street life, tofauti zotakuwepo ila ni ndogo ndogo sana Kwa sababu zifiatazo;

1.Kuna watu wamo jf just for funny

2. Kuna watu wamo jf for learning

3. Kuna watu wamo jf ili waonekane kuwa wamo ktk jamii

4. Kuna watu wamo jf for both, funny and learning.

Hizo ni baadhi ya sababu zinazowafanya watu wawemo humu, ni kweli kila mmoja anaishi katika mazingira yake, kuna wengine hawana mahali per Ku interact na watu kulingana na lifestyle yake au majukumu yake nk.
Kwa hiyo akiingia jf ndio anaondoa stress zake zote na kuwa mpya.

Ntaendelea baadae kidogo, ngoja niitendee haki hii glasi hapa pembeni


lazima penye wengi magenius kama nyie muwepo ! atleast umenitaja kwenye moja ya magroup hapo juu !
ngoja niendelee na miye kunyonya wine hapa
 
Ewaaaaaa there you are .....
df60c70c55fe10a3f360b43090da7a5a.jpg
nawe omba utakacho ....


N.b ila ukumbuke Mimi nimtumwa.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] mbona unajihamii..kwani mtumwa haombwii??[emoji85] [emoji85]
 
lazima penye wengi magenius kama nyie muwepo ! atleast umenitaja kwenye moja ya magroup hapo juu !
ngoja niendelee na miye kunyonya wine hapa
Unajua mkuu, ukweli utabaki kuwa ukweli, halafu maisha ni utaratibu ambao hautabiriki Kwa kuwa standard measures za kutafsiri, katika mahusiano kuna watu waliamini wakioa kijijini watakuwa wameoa mwanamke sahihi, lakini tafiti zimeonyesha kwa asilimia kubwa wengi walifeli, pia kuna watu waliamini kuoa mwanamke anayefanya kazi baa ni kutafuta shida, na tafiti zimeonyesha asilimia 80 ya wanawake walioolewa waliokuwa wanafanya kazi baa ni wake bora sana. Hiyo kitu inategemea factors nyingi sana za kuzingatia, ndio maana nimesema hakuna direct criteria katika hili.
 
Aisee so wanaume wa hum ndo wenye HIV ambao watawaambukiza wanawake?? Je huyo mwanamke akitembea na mwingine asona HIV iitakuwaje??alokwambia mwanamke msomi anatoa mimba kishamba hivyo kiasi cha kuoza kizaz n nani?? Mkuu kama umeoa nina hakika mkeo keshatoa mimba 1. Kabla ya kumuoa 2. Baada ya kumuoa (mimba nying sana wamama hubeba kipind cha uzaz wa kunyonyesha so huzitoa kuliko unavyodhan ww) pole
 
Back
Top Bottom