Kwa mjini CCM haina chake tena watu wana hasira sana.Huu umeme umekuwa kero sana shughuli za watu zimesimama viwanda vinashindwa kufanya kazi ndo mtegemee maendeleo...
Ungekuwa hauna umeme ungekuwepo JF saa hizi?Wewe ni mpumbavu mmeshindwa kuhakikisha umeme kuwa mahitaji mhimu unakuja na drama za sola mfano kiwanda utaendeshea sola
Kwa umri wangu kukuita wewe ni mpumbavu ni ukosefu mkubwa wa nidhamu lakini sina budi kukuambia wewe ni mpumbavu na mjinga wa mwisho ,udini na uccm unakutia upofu unakua huoni kuwa viwanda haviitaji solar na powerbank kuvi endesha kama alivyosema mleta mada.Wewe utakuta unalalamika kwa kuwa umeshindwa kununuwa hata solar ya kukuchajia simu yako tu.
Watanzania sio watu wakutetewa muda wote story zao ni simba na yanga hiyo akili ya kuitoa ccm wataanzia wapHuu umeme umekuwa kero sana shughuli za watu zimesimama viwanda vinashindwa kufanya kazi ndo mtegemee maendeleo...
Bado upo na akili za madrasa za hadithi za mtume unaleta kwenye suala serious kama umeme nimeamini mama chawa wake hawana akili, magufuli alikuwa na chawa smart hadi unashindwa uwajibuje hojaUngekuwa hauna umeme ungekuwepo JF saa hizi?
Umeme siyo katika maadui wa nyerere, alituwacha giza totoro. Tunapambana maadui alioturithisha nyerere kwanza. Unawajuwa?
Anza wewe mkuu sie twajaHuu umeme umekuwa kero sana shughuli za watu zimesimama viwanda vinashindwa kufanya kazi ndo mtegemee maendeleo....
Faiza kwako wewe matumizi ya umeme ni kucharge simu na kuwasha taa tu? Kuna comments nyingine hadi huruma, hivi hujui umuhimu wa nishati ya umeme katika shughuli za uzalishaji? Najuwa mmezoea urojo na vijembe, uku kwingine mmeingia kwa bahatibahati tu wala hata hamjali, mmekaa kimyaa bora linakwenda.Wewe utakuta unalalamika kwa kuwa umeshindwa kununuwa hata solar ya kukuchajia simu yako tu.
Hiyo comment yake imenifanya niamini Hana akiliFaiza kwako wewe matumizi ya umeme ni kucharge simu na kuwasha taa tu? Kuna comments nyingine hadi huruma, hivi hujui umuhimu wa nishati ya umeme katika shughuli za uzalishaji? Najuwa mmezoea urojo na vijembe, uku kwingine mmeingia kwa bahatibahati tu wala hata hamjali, mmekaa kimyaa bora linakwenda.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Faiza, kwa comments zako hizi leo nimegundua kiwango chako cha uelewa, nakusamehe. Wakati Nyerere anaweka mikakati ya kupambana na hao maadui watatu nchi ilikuwaje na ilikuwa imetoka wapi? Hao maadui wa Nyerere mtapambana nao hadi lini? Wewe kweli mhuuu.Ungekuwa hauna umeme ungekuwepo JF saa hizi?
Umeme siyo katika maadui wa nyerere, alituwacha giza totoro. Tunapambana maadui alioturithisha nyerere kwanza. Unawajuwa?
Umasikini wa Tanzania ni matokeo ya maagano ni ngumu sana kuvuka mstari wa umasikini uliowekwa.
Shida ya umeme ni muendelezo ule ule wa kuua uzalishaji wengi wasiuvuke mstari
Tehe tehe tehe ngoja nicheke! Umempiga kwenye mshono aisee! kha ahsante mkuu!Bado upo na akili za madrasa za hadithi za mtume unaleta kwenye suala serious kama umeme nimeamini mama chawa wake hawana akili, magufuli alikuwa na chawa smart hadi unashindwa uwajibuje hoja