Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona kama haujajibu hoja, au ndo umejibu kiroho zaidi!?😀Ndani ya bustani ya eden hakukuwa na kifo.Kulikuwa na maisha ya milele.Zaidi hapakuwa na ugonjwa wowote dhiki au kupata Kwa kuhangaika,,pale MUNGU alikuwa Pamoja na wanadamu na viumbe.Vyakula vilikuwa matunda na mimea..Kifo Kwa binadamu na wanyama,,njaa,,magonjwa,,umaskini na matatuzo yote ya binadamu yameanzia nje ya bustani baada ya Adam na mkewe kufukuzwa watoke ndani ya bustani na malaika akawekwa alinde njia ya kurudia bustani na kwenda Kula matunda ya mti WA uzima.
Nisome vizuri utaelewa kwamba wanyama wanaokula nyama kwenye bustani ya eden walikula nini?? Soma uelewa usisome kukimbilia kujibu.mbona kama haujajibu hoja, au ndo umejibu kiroho zaidi!?😀
Adamu aliwaponza akina simba namamba?Ndani ya bustani ya eden hakukuwa na kifo.Kulikuwa na maisha ya milele.Zaidi hapakuwa na ugonjwa wowote dhiki au kupata Kwa kuhangaika,,pale MUNGU alikuwa Pamoja na wanadamu na viumbe.Vyakula vilikuwa matunda na mimea..Kifo Kwa binadamu na wanyama,,njaa,,magonjwa,,umaskini na matatuzo yote ya binadamu yameanzia nje ya bustani baada ya Adam na mkewe kufukuzwa watoke ndani ya bustani na malaika akawekwa alinde njia ya kurudia bustani na kwenda Kula matunda ya mti WA uzima.
Adamu aliwaponza akina simba namamba?
Na hao wanyama walikosa nini?Ndani ya bustani ya eden hakukuwa na kifo.Kulikuwa na maisha ya milele.Zaidi hapakuwa na ugonjwa wowote dhiki au kupata Kwa kuhangaika,,pale MUNGU alikuwa Pamoja na wanadamu na viumbe.Vyakula vilikuwa matunda na mimea..Kifo Kwa binadamu na wanyama,,njaa,,magonjwa,,umaskini na matatuzo yote ya binadamu yameanzia nje ya bustani baada ya Adam na mkewe kufukuzwa watoke ndani ya bustani na malaika akawekwa alinde njia ya kurudia bustani na kwenda Kula matunda ya mti WA uzima.
labda kuna kitu unacho, ila kinakushinda kuandika. kama wote walikuwa wanakula matunda ikawaje wengine wakawa Predators na wengine wakawa PreysNisome vizuri utaelewa kwamba wanyama wanaokula nyama kwenye bustani ya eden walikula nini?? Soma uelewa usisome kukimbilia kujibu.
Katika bustani ya Eden, wanyama wote walikuwa wanakula chakula kingine kisichohusisha nyama. Hapa kuna maelezo ya kinagaubaga kuhusu chakula walichokuwa wanatumia:Simba, Chui, Fisi na wanyama wengine wala nyama walikuwa wanakula nini katika bustani ya Eden?
Chatu alikuwa anameza kitoweo chake katika bustani ya Eden?
Mamba alikuwa anakula nini??
Ndege wala nyama na samaki walikuwa wanakula nini?
Kumbe samaki walianza kuliwa kitambo!Katika bustani ya Eden, wanyama wote walikuwa wanakula chakula kingine kisichohusisha nyama. Hapa kuna maelezo ya kinagaubaga kuhusu chakula walichokuwa wanatumia:
Wanyama Waliokuwa Bustani ya Eden:
- Simba, Chui, na Fisi: Walikuwa wanakula mimea, matunda, na majani.
- Chatu: Alikuwa anameza matunda na mimea kama kitoweo chake.
- Mamba: Alikuwa anakula samaki na mimea ya majini.
- Ndege: Walikuwa wanakula mbegu,matunda, na miche ya mimea.
Katika Bustani ya Eden, hakuna wanyama waliokuwa wanakula nyama kwani mazingira yalikuwa ya amani na ushirikiano.
- Samaki: Samaki walikuwa wakila mimea ya majini na samaki wadogo.
Kitambo samaki amekuwa chakula muhimuKumbe samaki walianza kuliwa kitambo!
Kwamba wewe ulikuwa sokwe jike na sasa umekuwa mwanadamu wa kiume?😀😀😀😀😀Theory ya evolution ina majibu yote
Kwanini? Kwamba Sayansi inapinga uumbaji wa Mungu au imeishia pale uumbaji unapoanzia?Ukichanganyia sayansi huku utajikuta unaangua kicheko!
Kwahiyo kifo cha samaki kilikuwepo kabla ya Adam na Hawa kula tunda?Katika bustani ya Eden, wanyama wote walikuwa wanakula chakula kingine kisichohusisha nyama. Hapa kuna maelezo ya kinagaubaga kuhusu chakula walichokuwa wanatumia:
Wanyama Waliokuwa Bustani ya Eden:
Katika Bustani ya Eden, hakuna wanyama waliokuwa wanakula nyama kwani mazingira yalikuwa ya amani na ushirikiano.
- Simba, Chui, na Fisi: Walikuwa wanakula mimea, matunda, na majani.
- Chatu: Alikuwa anameza matunda na mimea kama kitoweo chake.
- Mamba: Alikuwa anakula samaki na mimea ya majini.
- Ndege: Walikuwa wanakula mbegu,matunda, na miche ya mimea.
- Samaki: Samaki walikuwa wakila mimea ya majini na samaki wadogo.
Sasa mkuu ukileta sayansi hapa eti mnyama kama simba hapo bustanini alikua anakula maboga? Na chatu je alikua anameza matikiti?Kwanini? Kwamba Sayansi inapinga uumbaji wa Mungu au imeishia pale uumbaji unapoanzia?