Hapo Mwanzo kulikuwa na Darkness/kiza/Giza, Maji na the Great god, Bumba.
Siku Moja alijipata tumbo likimsokota, Kisha akatapita Jua,
Jua likakausha Maji, Ardhi/land ikatokea,
Kisha akatapika Tena, Crocodile/mamba, mjisui, Simba, chui na wanyama wengi wakatokea.
Kisha akatapika Tena , Akatokea Mtu/binadamu/Homo Sapiens.
Hii ni creation Myth ya bushongo people kutoka Central Africa.
Creation Myth , zipo nyingi sana.
Hiyo bustani ya Eden, mojawapo.
Ni katika harakati tu za homo sapiens kujitafuta, Nini yote haya, tumetoka wapi, origin-beginnning Universe,
Floods, Earthquake, Solar Eclipse, Solar system, Galaxy,Lunar Eclipse, Meteor's, disease, genetic disorder, death,life.n. k
Na kwa kiasi kikubwa Hatua zimepigwa kubwa, kulinganisha na Miaka ya nyuma /Karne za nyuma za akina Bishop Ussher ambao walidai ulimwengu uliuumbwa Saa sita mchana October 22 ,4004 B.C
Sasa mambo mengi yanamajawabu yake na uelekeo Bora kwa mengine.
Mwisho,The Universe(Matter , Energy,Space)is the Ultimate free Lunch.