Kwa wanaoamini uumbaji wa Eden, wanyama wala nyama waliumbwa wakiwa wanakula nyama?

Umewapendelea Mamba na Samaki. Yaani sisi wengine tushindie nyasi kama Wanyaturu halafu wao wanakula vitoweo vya baharini. Kwani Samaki na Samaki wadogo wao waliandikiwa kifo tangu uumbaji??
 
Waliumbwa hivyo hivyo wakiwa wanakula nyama na kuraruana au kula nyama za wenzao kulianza baadaye?
Simba, Chui, Fisi na wanyama wengine wala nyama walikuwa wanakula nini katika bustani ya Eden?

Chatu alikuwa anameza kitoweo chake katika bustani ya Eden?

Mamba alikuwa anakula nini??

Ndege wala nyama na samaki walikuwa wanakula nini?
 
Inabidi ujizime data na kupachikwa ubongo wa roboti la Nape ili uweze kuamini stori hii
 
Simba, Chui, Fisi na wanyama wengine wala nyama walikuwa wanakula nini katika bustani ya Eden?

Chatu alikuwa anameza kitoweo chake katika bustani ya Eden?

Mamba alikuwa anakula nini??

Ndege wala nyama na samaki walikuwa wanakula nini?
Mkuu Yoda Je Adam akiwa kwenye bustani alikuwa anakula nyama za wanyama wanyama mbalimbali na vegetable?
Jibu ni hapana, binadamu kula nyama waliruhusiwa baada ya gharika ndipo walipo ruhusiwa,
 
Hapo Mwanzo kulikuwa na Darkness/kiza/Giza, Maji na the Great god, Bumba.

Siku Moja alijipata tumbo likimsokota, Kisha akatapita Jua,

Jua likakausha Maji, Ardhi/land ikatokea,

Kisha akatapika Tena, Crocodile/mamba, mjisui, Simba, chui na wanyama wengi wakatokea.

Kisha akatapika Tena , Akatokea Mtu/binadamu/Homo Sapiens.

Hii ni creation Myth ya bushongo people kutoka Central Africa.


Creation Myth , zipo nyingi sana.

Hiyo bustani ya Eden, mojawapo.


Ni katika harakati tu za homo sapiens kujitafuta, Nini yote haya, tumetoka wapi, origin-beginnning Universe,
Floods, Earthquake, Solar Eclipse, Solar system, Galaxy,Lunar Eclipse, Meteor's, disease, genetic disorder, death,life.n. k

Na kwa kiasi kikubwa Hatua zimepigwa kubwa, kulinganisha na Miaka ya nyuma /Karne za nyuma za akina Bishop Ussher ambao walidai ulimwengu uliuumbwa Saa sita mchana October 22 ,4004 B.C

Sasa mambo mengi yanamajawabu yake na uelekeo Bora kwa mengine.

Mwisho,The Universe(Matter , Energy,Space)is the Ultimate free Lunch.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…