Ninayo hiyo Line tokea mwaka 2012Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa, 😋Pia Bonus za Vocha Ya Mpaka 1000Ksh Hakika Safaricom Inanisaidia.
Asante Sana Mister Tomaa Pia Zile Line 7 Nyingine Nimezipata pia Thanks Sana.
Umewahi pokea pesa na hiyo mastercard yako??? tuachane na kulipia maana kama kulipia nadhani nina card karibu ya kila bank
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kutoa hela paypal upate cash inakuwaje???Nilipokea pesa kutoka PayPal baada ya muamala kurudisha kutoka eBay
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi uirejeshe pesa kwenye account ya mpesa ndio unaweza kuitoa kupitia mpesa shop
Mnajitia aibu tu hapa kujadiri mambo yalio nje ya uwezo na uelewa wenu.....!Nyie mnanunua line mjiulize haya kabla ya maamuzi+
1. zimesajiliwa kwajina gani au zinasajiliwa vp?
2. Kama zimesajiliwa tayari Hilo jina NI lako vp siku mamlaka husika wakikutuhumu Hilo jina lililosajiliwa limefanya uhalifu na wanaamini n wewe?
3. Kama mnaitumia kwa matumizi ya kifedha na line imekuja ishasajiliwa tayari huoni Kuna uwezekano wa kupoteza pesa zako baada ya kudeposit pesa kwenye hyo lain
Haya kikwete alisema zakuambiwa changanya nazako
MAGUFULI naye alisema za mbayuwayu changanya nazako
Chief! Hiyo line sio kwa matumizi ya Roaming, ni kwa ajiri ya Registration za Paypal tu, may be Ku transfer pesa toka Mobile wallet ya Safaricom to Mpesa basi!Ninayo hiyo Line tokea mwaka 2012
Kwa Watanzania ningumu sana kuitumia hii ghalama zake ni juu sana
HahahaaaaaaMkuu Mimi nimekuelekeza tu kwa wahusika sahihi maana mpesa MasterCard ndio naitumia kwa manunuzi mengi ya online na PayPal naitumia nishafanya hivyo nikafanikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipokea pesa kutoka PayPal baada ya muamala kurudisha kutoka eBay
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba screenshot ya PayPal yako ya tz(home page)?? Kama ina button ya request nipigwe ban ya maisha humu na watu waliochukua line nitakiwa nimewatapeliNilipokea pesa kutoka PayPal baada ya muamala kurudisha kutoka eBay
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijakwambia Mimi umewatepeli embu rudia kusoma tena comments zanguNaomba screenshot ya PayPal yako ya tz(home page)?? Kama ina button ya request nipigwe ban ya maisha humu na watu waliochukua line nitakiwa nimewatapeli
Mkuu sijakwambia Mimi umewatepeli embu rudia kusoma tena comments zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi naijua PayPal moja tu kama kuna nyingine hilo sijuiHata ww hujanielewa, umesema umepokea pesa toka paypal?? Paypal ipi sasa?
Screenshot tafadhali naomba
Mkuu siwezi kukuwekea screenshot za transaction zangu wewe amini uongo au ukweli hiyo ni juu yakoScreenshot tafadhali naomba
Unarejesha kwa njia ipi? Je wewe umewahi rejesha?Inabidi uirejeshe pesa kwenye account ya mpesa ndio unaweza kuitoa kupitia mpesa shop
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hata screenshot tu unashindwa kutuwekea tutakuamini vipi?Mkuu siwezi kukuwekea screenshot za transaction zangu wewe amini uongo au ukweli hiyo ni juu yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo?Hii ndio paypal original,ina sehemu ya kupokea na kulipiaView attachment 982474