Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Nyie mnanunua line mjiulize haya kabla ya maamuzi+
1. zimesajiliwa kwajina gani au zinasajiliwa vp?
2. Kama zimesajiliwa tayari Hilo jina NI lako vp siku mamlaka husika wakikutuhumu Hilo jina lililosajiliwa limefanya uhalifu na wanaamini n wewe?
3. Kama mnaitumia kwa matumizi ya kifedha na line imekuja ishasajiliwa tayari huoni Kuna uwezekano wa kupoteza pesa zako baada ya kudeposit pesa kwenye hyo lain
Haya kikwete alisema zakuambiwa changanya nazako
MAGUFULI naye alisema za mbayuwayu changanya nazako
1. zimesajiliwa kwajina gani au zinasajiliwa vp?
2. Kama zimesajiliwa tayari Hilo jina NI lako vp siku mamlaka husika wakikutuhumu Hilo jina lililosajiliwa limefanya uhalifu na wanaamini n wewe?
3. Kama mnaitumia kwa matumizi ya kifedha na line imekuja ishasajiliwa tayari huoni Kuna uwezekano wa kupoteza pesa zako baada ya kudeposit pesa kwenye hyo lain
Haya kikwete alisema zakuambiwa changanya nazako
MAGUFULI naye alisema za mbayuwayu changanya nazako