Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

Mkuu bado hizo line unazo nilikuwa nahitaji kama zipo tuwasiliane nikutumie pesa
Mtafute Tomaa Miren alieanzisha uzi kipindi icho ndio nilinunuaga kwake namimi...

Sent from my Infinix X5514D using Tapatalk
 

Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa, [emoji39]Pia Bonus za Vocha Ya Mpaka 1000Ksh Hakika Safaricom Inanisaidia.

Asante Sana Mister Tomaa Pia Zile Line 7 Nyingine Nimezipata pia Thanks Sana.
Mbona miandiko ina fanana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi ninahitaji.
Lakini nina swali kwanza.
Nataka niitumie hiyo line kuwithdraw na kudeposit kwenye a/c yangu ya 1xbet je itawezekana na mimi nimeisajili hiyo a/c kwa no ya bongo na kwenye country nimesect Tz.
Nikipata majibu ya uhakika nitachukua line
Line zimebak 3 tu boss

1xbet ni ya tz au Kenya?
Cha kuzingatia ni kuwa ukiwa na hizi line unaweza kufanya transactation zozote za TZ na Kenya.
Cha kuzingatia ni kama location ni issue utatumia VPN au fake GPS ulocate Kenya
 
na mimi nahitaji niitumie kwenye 1xbet vip mkuu una uelewa wowote kuhusiana na hili mkuu tushare nasi kdogo?
Chukua hiyo line jaza pesa nenda 1xbet chagua deposit au withdraw with mpesa safaricom...

Muhimu ujue menu ya mpesa safaricom mengine unajiongeza simply tu.

Hakikisha xbet inasoma account ya KKenya.
Ingawa kuna njia nyingi bila kutimia vpn
 
Angalizo muuzaji, angalia usiingie matatani na TCRA wakikushika ndugu kesi utazofunguliwa sijui idadi yake, ungefanya kimya kimya bila kujianika, saiv kuna operation ya kuondoa laini zote ambazo hazijasajiliwa kwa kufuata taratibu, sasa kuingiza laini za kenya ndio(nakubali kwa lengo jema) ila kuna watu wanaweza tumia kichaka hicho kufanya uhalifu, kesi za mauaji mfano zinaweza tumiwa na watu kwasababu ya usajili kufanyika nchi jirani na hivyo kupoteza ushaidi, hayo ni ya ziada ila tumia akili kidogo unapofanya vitu ambavyo ni strict kwa usalama wako pia.
Umeanika namba zako wakianza ku trace mawasiliano yako ndani ya masaa machache identity yako wanayo, sikutishi ila kuwa makini tu inawezakana hujui consequences za unachofanya.
Goodluck
 
na mimi nahitaji niitumie kwenye 1xbet vip mkuu una uelewa wowote kuhusiana na hili mkuu tushare nasi kdogo?
Mkuu ukiwa na hizi line unaweza kuweka hela na kutoa kupitia Skrill..So unafungua Skrill unaweka hela kupitia hii line then unaweka huko 1xbet.

Ila moja kwa moja kwenda 1xbet sidhani labda ufake location.
 
Kama wewe ni mtu wa online business na unapokea malipo yako kupitia PayPal basi laini ya Safaricom ni muhimu kwa sababu ukiwa nayo unaweza fungua PayPal ya Kenya na ukalink na M-pesa ya Safaricom na utakuwa unaweza kutoa pesa kutoka PayPal kwa muda usiozidi masaa mawili tu! Binafsi ninayo na natumia! Inanisaidia sana...
So kama nipo Tanzania, vipi nita withdraw from Safaricom Mpesa ikiwa hamna mawakala wa safaricom? au unatoa hela kwa mpesa yoyote tu japo kama voda?
 
So kama nipo Tanzania, vipi nita withdraw from Safaricom Mpesa ikiwa hamna mawakala wa safaricom? au unatoa hela kwa mpesa yoyote tu japo kama voda?
Unahamisha pesa kutoka mpesa safaricom kwenda mpesa vodacom.
 
Angalizo muuzaji, angalia usiingie matatani na TCRA wakikushika ndugu kesi utazofunguliwa sijui idadi yake, ungefanya kimya kimya bila kujianika, saiv kuna operation ya kuondoa laini zote ambazo hazijasajiliwa kwa kufuata taratibu, sasa kuingiza laini za kenya ndio(nakubali kwa lengo jema) ila kuna watu wanaweza tumia kichaka hicho kufanya uhalifu, kesi za mauaji mfano zinaweza tumiwa na watu kwasababu ya usajili kufanyika nchi jirani na hivyo kupoteza ushaidi, hayo ni ya ziada ila tumia akili kidogo unapofanya vitu ambavyo ni strict kwa usalama wako pia.
Umeanika namba zako wakianza ku trace mawasiliano yako ndani ya masaa machache identity yako wanayo, sikutishi ila kuwa makini tu inawezakana hujui consequences za unachofanya.
Goodluck
Naunga mkono Hoja,

Very Dangerouos

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna njia mbili,sema nitakuelezea 1 unatoa SAFARICOM kupeleka Vodacom Tanzania kisha unatoa kwa mawakala wa m-pesa tz,njia nyingine ni chipper cash* na pia kama upo DSM kuna mawakala kkoo,na mnazi mmoja.
So kama nipo Tanzania, vipi nita withdraw from Safaricom Mpesa ikiwa hamna mawakala wa safaricom? au unatoa hela kwa mpesa yoyote tu japo kama voda?
 
Mkuu ukiwa na hizi line unaweza kuweka hela na kutoa kupitia Skrill..So unafungua Skrill unaweka hela kupitia hii line then unaweka huko 1xbet.

Ila moja kwa moja kwenda 1xbet sidhani labda ufake location.
thanks mkuu
 
Back
Top Bottom