Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ingilieni Kati ufirauni huu Safaricom na Tanzania wapi na wapi?
Hii msg imekaa kama zile msg za kitapeli za"Mjukuu wangu baada ya kukutumia ile dawa na ukanunua mabasi mapya 10 umeshindwa kunitumia yule jogoo mweusi"?.
Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa, [emoji39]Pia Bonus za Vocha Ya Mpaka 1000Ksh Hakika Safaricom Inanisaidia.
Asante Sana Mister Tomaa Pia Zile Line 7 Nyingine Nimezipata pia Thanks Sana.
@tomaa mireni umeamua kuwa na ID mbili na kujijibu thread yako....
Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa, [emoji39]Pia Bonus za Vocha Ya Mpaka 1000Ksh Hakika Safaricom Inanisaidia.
Asante Sana Mister Tomaa Pia Zile Line 7 Nyingine Nimezipata pia Thanks Sana.
KWANI NIKIWA NA MASTERCARD AU VISA SI NARAHISISHA TU?Inahusika sana na Online payment kulingana na za hapa nyumbani kukosa vigezo
Pole sana mzee,sina cha kusema zaidi ya kukupa poleSerikali ingilieni Kati ufirauni huu Safaricom na Tanzania wapi na wapi?
Rahisi kifanyia nini hizo MasterCard & Visa mkuu?KWANI NIKIWA NA MASTERCARD AU VISA SI NARAHISISHA TU?
Inasajiliwaje na TCRA? Au ndio wale wengine wanatukana na kupost uchochezi WhatsApp kwa namba za nje ya TZ kumbe usajili wake magumashi?
Tuwe na tahadhari
Asante boss wangu japo sikujuiAchana na akili za ki-ccm hizo. Watu wanafikiria namna ya kurahisisha kupokea fedha na kulipia vitu au huduma (kwa kuwa mazingira ya hapa sio rafiki) wewe unafikiria kutukana na hicho mnachokiita uchochezi!
Multiple IDs.
Asante Sana Bro Tomaa Kwa Moyo Wako Mzuri Wa Kutusaidia Kuendelea Kuwa Name Urahisi Wa Upatikanaji Wa Huduma Za Kitechnologia. Hasa Zaidi Juu Ya Upatikanaji wa Hizi Line Za Safaricom Hakika Zinanisaidia kwa Mambo Mengi Sana Ikiwemo #Kutoa na Kupokea PESA PAYPAL, #Kutuma na Kupokea PESA Mpesa,
Usajiri unakamilika kwa kutumia details za raia wa Kenya! Kuhusu kushika network ni TZ nzima zinashika pale ambapo kuna mtandao wa Vodacom, Halotel, tiGo na Airtel... Kwa kutumia technology ya Roaming, kumbe hata ukiwa kwenye handaki inashika tu au porini kwa sabu Halotel inapatikana hata porini huko.... Mfano me niko mkoa wa kusini huku na natumia bila shida na huwa sometimes najiunga bundles za International Roaming na kuwasiliana na mshkaji wangu mkenya yuko kule Erdoret...Sasa inasajiliwa kwa ID za Kenya na kupewa registration number pindi unapomalizia usajili kwahiyo jina linaandikwa la nani au mtu wa Kenya?, na wa kwa mikoa iliyo mbali na Kenya kama Mtwara, Iringa, Ruvuma wanatumia minara ipi?, maana kwa wa Arusha na Kilimanjaro ni rahis kushika ya Kenya
Kama watz wengi hawana Account bank,hata ukiwa na account bank hakuna bank inayopokea pesa toka paypalKWANI NIKIWA NA MASTERCARD AU VISA SI NARAHISISHA TU?
Ndio wanazo bundles zinaitwa International Roaming Bundles but hizo bundles ni ghali sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbali na hiyo paypal huduma nyingine ya malipo ni hipi na nikitaka kufund pesa nikiwa hapa bongo inawezekana?Usajiri unakamilika kwa kutumia details za raia wa Kenya! Kuhusu kushika network ni TZ nzima zinashika pale ambapo kuna mtandao wa Vodacom, Halotel, tiGo na Airtel... Kwa kutumia technology ya Roaming, kumbe hata ukiwa kwenye handaki inashika tu au porini kwa sabu Halotel inapatikana hata porini huko.... Mfano me niko mkoa wa kusini huku na natumia bila shida na huwa sometimes najiunga bundles za International Roaming na kuwasiliana na mshkaji wangu mkenya yuko kule Erdoret...
Sent from my Infinix X5514D using Tapatalk
Njia nyingine sidhani, Me natumia paypal pekee na VisaCard sometimes inapohitajika kuitumia...Mbali na hiyo paypal huduma nyingine ya malipo ni hipi na nikitaka kufund pesa nikiwa hapa bongo inawezekana?
ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?Njia nyingine sidhani, Me natumia paypal pekee na VisaCard sometimes inapohitajika kuitumia...
Sent using Jamii Forums mobile app