Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,595
- 3,670
Heshima kwenu Mabibi na Mabwana.
Mimi nilishakaa pale boda ya Tanzania na Zambia kwa miezi kadhaa kwa ajili ya shughuli za ujasiriamali, na katika kuwa kwangu pale kuna mtu nilikutana nae na akanambia kule Zambia kuna fursa nyingi tu za biashara kwa kuwa bidhaa nyingi za Zambia zinatokea Tanzania japo hakunielezea kwa undani ila alinambia bidhaa km mafuta,unga,sabuni zinaenda sana kule
Sasa kama kuna mwenye taarifa za kutosha na jinsi ya kupeleka biashara na kupata fursa uko Zambia atuekee hapa ili tupate pa kuanzia,
Mchango wako ni muhimu sana mana ajira imekua zoezi
Natanguliza shukrani Wakuu.
Mimi nilishakaa pale boda ya Tanzania na Zambia kwa miezi kadhaa kwa ajili ya shughuli za ujasiriamali, na katika kuwa kwangu pale kuna mtu nilikutana nae na akanambia kule Zambia kuna fursa nyingi tu za biashara kwa kuwa bidhaa nyingi za Zambia zinatokea Tanzania japo hakunielezea kwa undani ila alinambia bidhaa km mafuta,unga,sabuni zinaenda sana kule
Sasa kama kuna mwenye taarifa za kutosha na jinsi ya kupeleka biashara na kupata fursa uko Zambia atuekee hapa ili tupate pa kuanzia,
Mchango wako ni muhimu sana mana ajira imekua zoezi
Natanguliza shukrani Wakuu.