Kwa wanaojuwa hesabu tu: Uwiano wa Masaa 15 viewers Mil.1 na Masaa 120 viewers mil.2s

Uko sawa....anayejua hisabati hawezi kubishana juu ya hilo...
Kula like tafadhali....[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Kwa hiyo kama alipata 2m views in a day, ulitegemea atapata 60m views baada ya mwezi? Akili nyingine ni tatizo.
Umeona eeh....ni shida kilaza akijua kwamba yeye ni kilaza lakini ni janga kama kilaza hajitambui kuwa ni kilaza...
 
Umsoma integro mkuu, jaribu kuintagret utapata jawabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…