Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi napinga, kwanini umeleta huu uzi?Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa.
Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi.
Mada yoyote ruksa.
Karibuni...
Ngoja niwahi [emoji575] seat [emoji575], lazima niwe font page leo.... Sasa tunamaliza mwaka ulipotea kidogo hapo kati lakini hebu nijuze kwa utulivu kabisa kwanini kipindi cha JK ulinichukia kiasi kile[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa.
Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi.
Mada yoyote ruksa.
Karibuni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Christmas ni sherehe ya dunia nzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli wewe mbishiMimi napinga, kwanini umeleta huu uzi?
Hapana nakataa mimi sio mbishi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli wewe mbishi
Hapana nakataa mimi sio mbishi!
Mimi nakataa, sio sikukuu ya dunia nzima. Ivi syria, uarabuni wanasherekea hii sikukuu?Christmas ni sherehe ya dunia nzima.
Niko hapa nnaye bisha, kwa vigezo vifwatavyo...Wanawake hawahitaji pesa, wanahitaji mapenzi ya dhati, kubembelezwa na kusikilizwa. Basi kuna mtu atabisha hapa
Mimi nabisha kuwa wewe sio mwanamke ni mwanaume.Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa.
Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi.
Mada yoyote ruksa.
Karibuni...
Huyo demu atakuwa ana tatizo mahali trust me, sio mtu wa kawaidaNiko hapa nnaye bisha, kwa vigezo vifwatavyo...
Kuna jamaa hapa kitaa kila siku analia, anasema ana mapenzi ya dhati kwa demu wake, anamjali, anamsikiliza lakin bado demu hamuelewi...
Anampa mpaka pesa na kitandan anasema anamridhisha lakin bado demu haelewi lugha!!
Kwa hiyo nakataa na kuipinga hoja yako.
Mimi nabisa wewe sio bilionea, kama mi mwongo thibitisha ubilionea wakoMimi nabisha kuwa wewe sio mwanamke ni mwanaume.
Sio kwa sababu wewe si mwanamke, ila ni kwa sababu ya ubishi tu.
Karibu tubishane.
Hilo hata mimi nabisha.Wanawake hawahitaji pesa, wanahitaji mapenzi ya dhati, kubembelezwa na kusikilizwa. Basi kuna mtu atabisha hapa
Siasa zimekushinda bibi faiza?Uzi huu unaweza kuleta mada yoyote ili tunaopenda ubishi tubishane. Wale wasiopenda ubishi pia mnakaribishwa kubishana mnapoona panahitaji kuwekwa sawa.
Ubishi uwe wa staha na stara si wa matusi.
Mada yoyote ruksa.
Karibuni...
Nabisha kabisa kuwa naweza kuthibitisha kuwa mimi ni Bilionea.Mimi nabisa wewe sio bilionea, kama mi mwongo thibitisha ubilionea wako