[emoji23][emoji23][emoji23]leo ni special locationKumbe hata wewe mzee baba huwa unataman font siti
Hata ukiona utanifanya niniMim sitafut anaebisha natafuta anaejikuna sasa nione unajikuna
Nakubishia maana sitaki kujua unaishi wapi sisi kwetu mbinguni wewe utashangaa na huko masaki kwenu na huyo baba yako chakupewaNakubishia mimi sikai maeneo ya kwenu Tandale kwa tumbo naishi masaki mimi hahah
Kwani amekudai weweMtu kama faiza ameshakula pension yake ameimega 75% kwa mkupuo pah, bibi huyu amekula chumvi vilivyo bado anadai
Me nabisha maana hatuna ushahidi kama wewe ndiye member mpole
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akikijambia utafurahi ?
Nabisha, kwanza wewe hujawahi hata kuoaNapinga vikali sana kwa miaka kama miwili nilikuwa sina pesa lkn namfanyia mke kazi zote za ndani lkn alikuwa anaumwa kichwa kila dakika hadi siku nikiyopata pesa nikaona hata kazi anafanya sasa. Mwanamke pesa kwanza
Ulijuwaje kama mtulivu na mtaratibu?
Utapata kwa performance yako tu. Performance ikiwa mbovu hata ukilipia hupati.Kabisa yaani wale wote wanaodhani au kufikiri Mwanamke atakuthamini eti mapenzi ya kweli hahahaha labda awe na mkwanja wake binafsi lkn otherwise baba tafuta mkwanja tena mrefu kila kitu utapata
SakayoNi Toxic kasema nachat, kwani hukuona
πππππMimi nabishana kabisa na wewe.
Lakini hakuna kitu kinaitwa Kiswahili hapa duniani.
Kama kipo thibitisha.
Hata akiwa na mkwanja wake mwenyewe na hata uwe mrefu kiasi gani bado ile principle ya kazi ya mwanaume n kutafuta kwa jasho na kumtunza mwanamke n kazi ya mwanaume itaaply mzee baba hahahaahhahahahahKabisa yaani wale wote wanaodhani au kufikiri Mwanamke atakuthamini eti mapenzi ya kweli hahahaha labda awe na mkwanja wake binafsi lkn otherwise baba tafuta mkwanja tena mrefu kila kitu utapata
Nani kasema hawahitaji mihela!
Kama reli ni chuma, mataili chuma, na treni chuma basi dereva nae ni chuma..bila kusahau abilia wote wa kigoma ni chuma
=FafanuaUpole ndiyo nini? Fafanuwa.
NitabasamuWe ulijua nataka nini toxic
Mie dadake, akija nimwambie niniSakayo
Wanaume kufika Kwenye peak rahis. Nyie mna stress nyingi ndio maana inakuwa mtihani.Siyo waliozoea kama mm nimemfikisha huko mliman kwa nn yeye asinifikishe?....ila hata hamna tabu wenzie watamsaidia kumpeleka huko mliman