Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi.

Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi.

Mim nabisha mpak kesho kwan waliotoa tafsiri ni binadam kam sisi

Tunaweza tukakubariana kutoka leo kwamba simu tuiite mamba na mamba aitwe simu na maisha yakaendlea kam kawaida
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] salamu zao huko Umalila/Utengule
 
Wanawake hawahitaji pesa, wanahitaji mapenzi ya dhati, kubembelezwa na kusikilizwa. Basi kuna mtu atabisha hapa
Napinga vikali sana kwa miaka kama miwili nilikuwa sina pesa lkn namfanyia mke kazi zote za ndani lkn alikuwa anaumwa kichwa kila dakika hadi siku nikiyopata pesa nikaona hata kazi anafanya sasa. Mwanamke pesa kwanza
 
Mimi sitaki kujiona yesu maana mm n roho lakini yesu alikuwa mwanadam hahahahahahahah
Hahaha wewe hata hilo neno ubishi tu halikutoshi sijui nikuiteje sasa ila nakubishia Yesu hakuwahi kuwa mwanadamu bali alijifanya binadamu
 
Napinga vikali sana kwa miaka kama miwili nilikuwa sina pesa lkn namfanyia mke kazi zote za ndani lkn alikuwa anaumwa kichwa kila dakika hadi siku nikiyopata pesa nikaona hata kazi anafanya sasa. Mwanamke pesa kwanza
Pole sana maana ulijifunza kuwa mwanamke hapendi ujinga ujinga kabisa siku nyingine usikae bila kazi tena hahahahahahahahaha
 
Pole sana maana ulijifunza kuwa mwanamke hapendi ujinga ujinga kabisa siku nyingine usikae bila kazi tena hahahahahahahahaha

Kabisa yaani wale wote wanaodhani au kufikiri Mwanamke atakuthamini eti mapenzi ya kweli hahahaha labda awe na mkwanja wake binafsi lkn otherwise baba tafuta mkwanja tena mrefu kila kitu utapata
 
Back
Top Bottom