Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi.

Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi.

Yaan nina adabu mpaka najishtukia ankoo,ukitaka kuogolea kwenye swimming puli nakuwekea na maji ya moto
IMG_20181221_125145.jpg

Na una adabu kuliko mabinti wa kisukuma wooteee[emoji3][emoji3][emoji3] Godi bulesi yuu Anko [emoji120][emoji120]View attachment 973659
 
Nakuelewa vizuri tu. Humu JF kuna kakikundi kanapenda kuabudiwa sana hasa wakimpenda mtu au chama wanataka wote wawe upande wao,ukiandika tofauti nao utaporomoshewa mvua za mapovu ya kutosha
Wengi hawapendi ukweli. Wabishi sana ndiyo maana nimewafungulia huu uzi wa kubishana.

Wacha waje tubishane nao kuhusu Chibu.
 
Nakuelewa vizuri tu. Humu JF kuna kakikundi kanapenda kuabudiwa sana hasa wakimpenda mtu au chama wanataka wote wawe upande wao,ukiandika tofauti nao utaporomoshewa mvua za mapovu ya kutosha
Hayo wewe usijali, wewe bisha tu kwa unachokisimamia.
 
Back
Top Bottom