Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi.

Nakuelewa vizuri tu. Humu JF kuna kakikundi kanapenda kuabudiwa sana hasa wakimpenda mtu au chama wanataka wote wawe upande wao,ukiandika tofauti nao utaporomoshewa mvua za mapovu ya kutosha
Wengi hawapendi ukweli. Wabishi sana ndiyo maana nimewafungulia huu uzi wa kubishana.

Wacha waje tubishane nao kuhusu Chibu.
 
Nakuelewa vizuri tu. Humu JF kuna kakikundi kanapenda kuabudiwa sana hasa wakimpenda mtu au chama wanataka wote wawe upande wao,ukiandika tofauti nao utaporomoshewa mvua za mapovu ya kutosha
Hayo wewe usijali, wewe bisha tu kwa unachokisimamia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…