Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi.

Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi.

Hakuna anayebisha ngono ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani
 
Kwa wale tunaopenda kufatilia ubishi naomba tuendelee ku-enjoy
 
Niko hapa nnaye bisha, kwa vigezo vifwatavyo...

Kuna jamaa hapa kitaa kila siku analia, anasema ana mapenzi ya dhati kwa demu wake, anamjali, anamsikiliza lakin bado demu hamuelewi...

Anampa mpaka pesa na kitandan anasema anamridhisha lakin bado demu haelewi lugha!!

Kwa hiyo nakataa na kuipinga hoja yako.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom