Kwa wanaotaka kuanza kufanya biashara na Hamjui muanzaje

Shauku inabidi uwe nayo ukishafanya research baada ya kuhadithiwa na make sure aliyekuhadithia na yeye anafanya hiyo biashara la sivyo utajua hujui

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Umeongea vizuri sana, Ila nadhani hipo applicable mijini, sisi tulio vijijini huku au miji midogo tufanyeje?
Formula za biashara huwa sawa maeneo yote muhimu tu katika biashara epuka

copy and paste,Formula ni zile zile zimetofautiana katika ku apply tu,mfano wa Mjini

anaweza anza na 1 2 3 4 5, wewe wa kijijini ukaanza na 5 4 3 2 1 wa sehemu nyingine

akaanza na 4 1 2 3 5 yani inategemea na nature ya wateja wa eneo husika wanataka nini

biashara hatufanyi au hatuendeshi tunavyotaka,tunaiendesha wanavyotaka wateja...
 
Kuna Kipindi Ulikuwa Tapeli Mkuu.
Ulitafuna Mbususu ya binti humu ukala hela yake na ukamsingizia magono.

Umeacha?
tuanzie hapo...
 
Nimeyakubali haya madini[emoji3578][emoji3578]
 
Natafuta mkopo/ grant/ funder wa kuniwezesha tsh,milioni 6 kurejesha ndani ya miezi mitano nicheki whatsap0755846814
 
NIONgezee 2017 wakati magu kaingia biashara zikapoteza mwelekeo wa kawaida baadhi ya maeneo nikachukua kibunda kusaka location mpya na research....nikakutana na mmalawi mwanafunzi wa phd anaelekea rwanda masomoni alitoka likozo kwenye story nkamwambia nafanya research ya kufungua atwi au kuhamishia biashara niliyonayo katka mengi tuliyoongea akaniambia kama ni mfanya biashara na tayari unayo ni lazima kuinvest katika research maaana una kitu cha kupoteza..taa IKAWAKa kichwani...akaendelea kama unaanza huna cha kupoteza maana biashara inayoanza kuna vya kupoteza vingi mpaka isimame....na katika kupoteza ndio unajifunza na kujishape...
 
Kwa wadau Wanaohitaji kuingia kwenye biashara hii ya kuuza sandle, slippers, Yebo yebo, Shoes nzuri nawakaribisha Sana ,hasa wadau wa mikoan miez hii biashara inahitajika Sana Ndo miez ya kuvaa Unaweza ukabuni kusambaza kwenye masoko,magulio, Stand,kuwasambazia kwenye maduka,kuuza kwenye vijiji huko fashion mbalimbali zinazitoka wanapenda Sana so wenye interesting tutazidi kupeana Mbinu Machimbo Mimi ntarahishisha Hilo
Dhumuni Ni Kukurahisishia Mteja Wetu Machimbo Kukuletea Bidhaa Bora Original Kwa Bei Nzuri , Fashion Mpya,Mpya Zinazotrend, dizain Tofaut Tofauti, Kama;
*YEBO YEBO
*SLIPPERS, SANDALS,
*Shoes & Clothes
*Tunatuma Mikoa Yote Kwa Oda
*Tunauza Kwa Rejareja na Jumla Kwa wafanyabiashara wa Dar na mikoani Tunatuma Kwa Oda
*Bei zinaanziaTsh 3000,5000,8000,10000,15000+
*Piga no 0716898393 , Whatsapp 0714994833
*Links Whatsapp group Uone update za dazain tofauti MHINA SUPER Discount SHOES SANDALS, SLIPPERS,YEBO YEBO, CLOTHES
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ