Kwa wanasayansi wabobezi.Ni zipi sababu za msingi zinazomfanya kuku asikojoe ili hali maji ana kunywa?

Kwa wanasayansi wabobezi.Ni zipi sababu za msingi zinazomfanya kuku asikojoe ili hali maji ana kunywa?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Kwa ma senior wa science wa hapa Jf.

Mimi ni mfuga kuku mzuri tu na nimzoefu lakini sijawahi kuona kuku anakojoa!!

Nasemea kuku kwa sababu ndo ndege nilioanza kuwafuga tangu utotoni mwangu.

Pamoja na kwamba kuku ni kiumbe anayekunywa maji pia lakini sijawahi kuona mkojo wake.

Sungura kwa kipindi cha muda mfupi tu nimemfuga unywaji wake wa maji si sana lakini lazima utaona mkojo wake ama akikojoa kabisa.

Ifahamike kwamba hatuwezi kusoma wote wakuu hivyo tunaomba ninyi mliobahatika kusoma mtutoe tongotongo.

Je ni zipi sababu za msingi zinazo wafanya ndege wasikojoe ili hali maji wanakunywa na matunda huwa wanakula kama matikiti nk?

Karibuni.
 
Kwa ma senior wa science wa hapa Jf.

Mimi ni mfuga kuku mzuri tu na nimzoefu lakini sijawahi kuona kuku anakojoa!!

Nasemea kuku kwa sababu ndo ndege nilioanza kuwafuga tangu utotoni mwangu.

Pamoja na kwamba kuku ni kiumbe anayekunywa maji pia lakini sijawahi kuona mkojo wake.

Sungura kwa kipindi cha muda mfupi tu nimemfuga unywaji wake wa maji si sana lakini lazima utaona mkojo wake ama akikojoa kabisa.

Ifahamike kwamba hatuwezi kusoma wote wakuu hivyo tunaomba ninyi mliobahatika kusoma mtutoe tongotongo.

Je ni zipi sababu za msingi zinazo wafanya ndege wasikojoe ili hali maji wanakunywa na matunda huwa wanakula kama matikiti nk?

Karibuni.
Hiv hakojoi
 
Kuku, kama ndege wengine, hawakojoi kama wanyama wa mamalia. Badala ya kuwa na mfumo wa kutenganisha mkojo na kinyesi, kuku hutengeneza taka ya nitrojeni kwa njia tofauti. Sababu kuu zinazofanya kuku wasikojoe ni hizi:
Mfumo wa Fiziolojia ya Ndege – Kuku na ndege wengine hawana kibofu cha mkojo. Badala yake, figo zao huchuja taka kutoka kwenye damu na kuzipeleka kwenye utumbo kama uric acid, ambayo inachanganyika na kinyesi badala ya kuwa katika mfumo wa maji kama mkojo wa mamalia.
Uric Acid Badala ya Urea – Wakati mamalia hutengeneza urea (ambayo huyeyushwa kwenye maji kama mkojo), ndege hutengeneza uric acid, ambayo ni kavu zaidi na huokoa maji mwilini. Hii huwasaidia kuishi katika mazingira yenye upungufu wa maji.
Kutunza Maji Mwilini – Mfumo huu unasaidia ndege kupunguza upotevu wa maji kwa kuwa hawahitaji kutoa mkojo wa majimaji mara kwa mara. Badala yake, taka hutolewa kama sehemu ya kinyesi chenye rangi nyeupe (ambacho ni uric acid).
 
Jamii ya ndege hawakojoi kwa sababu wana mfumo maalum wa kumetabolisha na kuondoa mabaki ya nitrojeni kutoka kwenye mwili wao. Badala ya kutoa mkojo kama wanyama wengi, ndege hutenga mabaki ya nitrojeni kwa njia ya asidi ya uriki, ambayo ni dutu nyeupe na yenye unyevu. Asidi ya uriki huchanganywa na kinyesi na kutolewa kwa pamoja kupita kloaka.

Sababu za kimsingi kwa nini ndege hutumia njia hii ni:

1. Ndege wanahitaji kuhifadhi maji kwa ufanisi, hasa wale wanaoishi katika maeneo kame. Kutoa mkojo kungepoteza maji mengi, lakini kwa kutumia asidi ya uriki, wanapunguza upotevu wa maji.

2. Asidi ya uriki ni nyepesi kuliko mkojo, ambayo inasaidia ndege kuwa na uzito mdogo na kuwa na uwezo wa kuruka kwa urahisi.

3. Asidi ya uriki haina maji mengi, ambayo inapunguza hatari ya kuharibika kwa ganda la yai kutokana na unyevu.

Kwa hiyo, mfumo huu wa kuondoa mabaki wa nitrojeni kwa njia ya asidi ya uriki ni muhimu kwa ndege kwa sababu za kuhifadhi maji, kupunguza uzito, na kuhakikisha usalama wa mayai...

Ama kweli ukifa mke wako aolewe tu 😁

Uric acid kwenye mavi ya kuku ni hivi vitu vyeupevyeupe kama hivi
images (15).jpeg
 
Kwa ma senior wa science wa hapa Jf.

Mimi ni mfuga kuku mzuri tu na nimzoefu lakini sijawahi kuona kuku anakojoa!!

Nasemea kuku kwa sababu ndo ndege nilioanza kuwafuga tangu utotoni mwangu.

Pamoja na kwamba kuku ni kiumbe anayekunywa maji pia lakini sijawahi kuona mkojo wake.

Sungura kwa kipindi cha muda mfupi tu nimemfuga unywaji wake wa maji si sana lakini lazima utaona mkojo wake ama akikojoa kabisa.

Ifahamike kwamba hatuwezi kusoma wote wakuu hivyo tunaomba ninyi mliobahatika kusoma mtutoe tongotongo.

Je ni zipi sababu za msingi zinazo wafanya ndege wasikojoe ili hali maji wanakunywa na matunda huwa wanakula kama matikiti nk?

Karibuni.
Mkiambiwa msome masomo yanayoeleweka kwenye combination mnakimbilia kusoma Masomo yenye H yaani History ndani kama HGK,HGL nk ona sasa mnatusumbua na maswali ya kijinga
 
Jamii ya ndege hawakojoi kwa sababu wana mfumo maalum wa kumetabolisha na kuondoa mabaki ya nitrojeni kutoka kwenye mwili wao. Badala ya kutoa mkojo kama wanyama wengi, ndege hutenga mabaki ya nitrojeni kwa njia ya asidi ya uriki, ambayo ni dutu nyeupe na yenye unyevu. Asidi ya uriki huchanganywa na kinyesi na kutolewa kwa pamoja kupita kloaka.

Sababu za kimsingi kwa nini ndege hutumia njia hii ni:

1. Ndege wanahitaji kuhifadhi maji kwa ufanisi, hasa wale wanaoishi katika maeneo kame. Kutoa mkojo kungepoteza maji mengi, lakini kwa kutumia asidi ya uriki, wanapunguza upotevu wa maji.

2. Asidi ya uriki ni nyepesi kuliko mkojo, ambayo inasaidia ndege kuwa na uzito mdogo na kuwa na uwezo wa kuruka kwa urahisi.

3. Asidi ya uriki haina maji mengi, ambayo inapunguza hatari ya kuharibika kwa ganda la yai kutokana na unyevu.

Kwa hiyo, mfumo huu wa kuondoa mabaki wa nitrojeni kwa njia ya asidi ya uriki ni muhimu kwa ndege kwa sababu za kuhifadhi maji, kupunguza uzito, na kuhakikisha usalama wa mayai... Ama kweli ukifa mke wako aolewe tu 😁
Ooh,basi wanasayansi wamemuumba ndege kwa ubora mahususi sana,wanastahili pongezi nyingi,


Maana kwa mpangilio huo aliyeumba ndege wote ni viumbe wengine bilashaka ni msomi haswa wa sayansi, na bilashaka viumbe wote wameumbwa na wanasayansi kwa ukamilifu haswa,


Na mimi nina swali ,kwanini wanasayansi hawaleti mvua zakutosha kipindi hikii ilhali wanajua wakulima tunategemea mvua wakati huu wa masika!! au huko juu kuna itilafu ya mitambo yao yakuleta mvua? na kwanini wanasayansi hawapunguzi makali ya jua,limekuwa kali sana!......
 
Mkiambiwa msome masomo yanayoeleweka kwenye combination mnakimbilia kusoma Masomo yenye H yaani History ndani kama HGK,HGL nk ona sasa mnatusumbua na maswali ya kijinga
We huna akili,kwaiyo unajiona hapo ulipo wewe ushafuta ujinga wote?? Kwamba vitu vyote hapa duniani unavijua kwa ufasaha kwa elimu yako iyo ya Ngumbaru?
 
Kuku, kama ndege wengine, hawakojoi kama wanyama wa mamalia. Badala ya kuwa na mfumo wa kutenganisha mkojo na kinyesi, kuku hutengeneza taka ya nitrojeni kwa njia tofauti. Sababu kuu zinazofanya kuku wasikojoe ni hizi:
Mfumo wa Fiziolojia ya Ndege – Kuku na ndege wengine hawana kibofu cha mkojo. Badala yake, figo zao huchuja taka kutoka kwenye damu na kuzipeleka kwenye utumbo kama uric acid, ambayo inachanganyika na kinyesi badala ya kuwa katika mfumo wa maji kama mkojo wa mamalia.
Uric Acid Badala ya Urea – Wakati mamalia hutengeneza urea (ambayo huyeyushwa kwenye maji kama mkojo), ndege hutengeneza uric acid, ambayo ni kavu zaidi na huokoa maji mwilini. Hii huwasaidia kuishi katika mazingira yenye upungufu wa maji.
Kutunza Maji Mwilini – Mfumo huu unasaidia ndege kupunguza upotevu wa maji kwa kuwa hawahitaji kutoa mkojo wa majimaji mara kwa mara. Badala yake, taka hutolewa kama sehemu ya kinyesi chenye rangi nyeupe (ambacho ni uric acid).
Umeeleza vyema sana mkuu hapo na kubaliana na bwn shamba mmoja alinambia mbolea ya kuku ni nzuri sana maana ina nitrojeni kwa wingi.
 
Ooh,basi wanasayansi wamemuumba ndege kwa ubora mahususi sana,wanastahili pongezi nyingi,


Maana kwa mpangilio huo aliyeumba ndege wote ni viumbe wengine bilashaka ni msomi haswa wa sayansi, na bilashaka viumbe wote wameumbwa na wanasayansi kwa ukamilifu haswa,


Na mimi nina swali ,kwanini wanasayansi hawaleti mvua zakutosha kipindi hikii ilhali wanajua wakulima tunategemea mvua wakati huu wa masika!! au huko juu kuna itilafu ya mitambo yao yakuleta mvua? na kwanini wanasayansi hawapunguzi makali ya jua,limekuwa kali sana!......
Ndio, kazi tunazoziona ulimwenguni tukiwemo sisi zinathibitisha zimefanywa na wanasayansi wenye maarifa ya hali ya juu hasa kimahesabu na kikemia.
 
Jamii ya ndege hawakojoi kwa sababu wana mfumo maalum wa kumetabolisha na kuondoa mabaki ya nitrojeni kutoka kwenye mwili wao. Badala ya kutoa mkojo kama wanyama wengi, ndege hutenga mabaki ya nitrojeni kwa njia ya asidi ya uriki, ambayo ni dutu nyeupe na yenye unyevu. Asidi ya uriki huchanganywa na kinyesi na kutolewa kwa pamoja kupita kloaka.

Sababu za kimsingi kwa nini ndege hutumia njia hii ni:

1. Ndege wanahitaji kuhifadhi maji kwa ufanisi, hasa wale wanaoishi katika maeneo kame. Kutoa mkojo kungepoteza maji mengi, lakini kwa kutumia asidi ya uriki, wanapunguza upotevu wa maji.

2. Asidi ya uriki ni nyepesi kuliko mkojo, ambayo inasaidia ndege kuwa na uzito mdogo na kuwa na uwezo wa kuruka kwa urahisi.

3. Asidi ya uriki haina maji mengi, ambayo inapunguza hatari ya kuharibika kwa ganda la yai kutokana na unyevu.

Kwa hiyo, mfumo huu wa kuondoa mabaki wa nitrojeni kwa njia ya asidi ya uriki ni muhimu kwa ndege kwa sababu za kuhifadhi maji, kupunguza uzito, na kuhakikisha usalama wa mayai...

Ama kweli ukifa mke wako aolewe tu 😁

Uric acid kwenye mavi ya kuku ni hivi vitu vyeupevyeupe kama hiviView attachment 3267652
Mzee umenyooka sana ahsante sana
 
Umeeleza vyema sana mkuu hapo na kubaliana na bwn shamba mmoja alinambia mbolea ya kuku ni nzuri sana maana ina nitrojeni kwa wingi.
Hata samaki wa maji ya kawaida mfano wanaofugwa kwenye mito,ziwa na mabwawa maji yake yana nitrojeni nyingi.
Ndio maana maeneo mengi yanayo zunguka ziwa victoria ,tanganyika na nyasa wakitumia maji kwa umwagiliziaji mazao yana stawi vizuri sana.
 
Hata samaki wa maji ya kawaida mfano wanaofugwa kwenye mito,ziwa na mabwawa maji yake yana nitrojeni nyingi.
Ndio maana maeneo mengi yanayo zunguka ziwa victoria ,tanganyika na nyasa wakitumia maji kwa umwagiliziaji mazao yana stawi vizuri sana.
AHSANTE SANA MKUU NIMEPATA KITU MUHIMU SANA NA NIKWELI KABISA HATA USIPOWEKA MBOLEA MAZAO HUWA YANASTAWI NA KUNAWILI ....KWA AKILI YANGU NILIJUA NI ULE UOZO WA MAJANI NA TAKA ZINAZOLETWA WAKATI WA MASIKA
 
Back
Top Bottom