Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Taifa letu limetokea kuwa la ajabu sana tumekuwa na wanasisa wa ajabu ambao hawana mikakati ya kuwasaida wananchi.
Wananchi nao wamekuwa watu wa ajabu wanadanganywa kama watoto wadogo ambao wakipewa zawadi ya peremende basi wao husahau shida zote.
Sijaona mwanasiasa ambae yupo serious na hali duni ya maisha wanayoishi Watanzania. Watanzania wana maisha duni, kula kwa tabu, ajira za tabu, elimu duni na zisizo na tija.
Lakini wanasiasa wanawadanya wananchi kwa kuweka Concert za music na kuwalaghai wananchi kuwa watawasaidia huku tukiwa hatusikii mkikakati ya kukomboa maskini wa taifa hili.
Wananchi nao wamekuwa watu wa ajabu wanadanganywa kama watoto wadogo ambao wakipewa zawadi ya peremende basi wao husahau shida zote.
Sijaona mwanasiasa ambae yupo serious na hali duni ya maisha wanayoishi Watanzania. Watanzania wana maisha duni, kula kwa tabu, ajira za tabu, elimu duni na zisizo na tija.
Lakini wanasiasa wanawadanya wananchi kwa kuweka Concert za music na kuwalaghai wananchi kuwa watawasaidia huku tukiwa hatusikii mkikakati ya kukomboa maskini wa taifa hili.