Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sawa kuna kuchanganya kiswa na Engl ila hii ni too much, mpaka haieleweki kaandika nini.huu mwandiko wa mwalimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kuna kuchanganya kiswa na Engl ila hii ni too much, mpaka haieleweki kaandika nini.huu mwandiko wa mwalimu
huoni shida sababu nawewe unatafuta haki sawa.Makasiriko mengine ya kike,Binafsi sioni shida kwa mtoa uzi hapo juu.Kama umeelewa imeisha hiyo kama hujaelewa omba msaada mbona rahisi sana mzee
Noma sana yaani🤣🤣🤣😅 Dread wamevamia.Acha tu even dreads are no longer seen as manly Km zaman wanawake washavamia
huoni shida sababu nawewe unatafuta haki sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee ni kweli kabisaa ..yaan mdada akiwa na elfu 30 tu ana pendeza kupita maelekezo ila kwa kidume iyo 30 yaan labda ukavae malapu lapu
Wabongo na ushoga hawaachani, wanaupenda moyoni, ila wazi wanau kataa, unafiki unawasumbua.Hoja unayo ila sijaelewa wachangiaji wa hapo juu kuhusisha mada hii na ushoga.....mhh
Sasa za James Charles, 3 ni 45k[emoji28][emoji28][emoji28] nimeuliza boxer zile white za CK nimeambiwa kuanzia tatu ni elfu thelasini 30,000 Tzs
Mwaka 1987 rafiki wa kiume kwasasa ni marehemu alikuwa anavaa chupi za kike na alikuwa nazo nyingi hakuwa na chupi za kiume nilimuuliza kwanini alisema anazipenda kuliko za kiume alibadilisha mtizamo 'mind set'Jamani sisi wanaume tumechoka kutafuta affordable decent clothes, shoes, bags even designer clothes. It seems watu wanawaza wanawake tu wakidhani hao ndio wakuvaa nguo tu na kupendeza sisi tuwe kama vichaa tu.
Designers ndio kabisa, walishajiweka ku deal na nguo za men but exclusively women; najua wanadhani hivyo sababu wanawake wengi are obsessed na kubadili badili na pia wengi wanahudumiwa na wanaume lakini na wanaume pia need to look good na sana sana of the working class ila sasa nguo za wanaume, viatu ni bei sana, hata nguo za watoto wa kiume pia.
Many clothes shops cater to women tu hadi inakera and it can get super boring. Kama design fulani wakivaa wanaume halafu wanawake wakaiga, wanaume tukiendelea kuzivaa tu basi basi tujiandae kuambiwa tumehama upande, INACHOSHA!
We need affordable designer clothes, za daraja la kawaida pamoja viatu vya bei nafuu kwa wanaume wa kawaida.
😅😅😅 noma sanaSasa za James Charles, 3 ni 45k
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatariii tupu.[emoji28][emoji28][emoji28] noma sana
Hakuna namna lazima tupendeze.😅😅😅 noma sana
Elfu 30 mbona nyingi,😂😂😂Aisee ni kweli kabisaa ..yaan mdada akiwa na elfu 30 tu ana pendeza kupita maelekezo ila kwa kidume iyo 30 yaan labda ukavae malapu lapu