Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

binafsi sijawahi ku date mtu yeyote mtandaoni ila nimepata positive Experience mfano humu jf unaweza kujuana na mtu Mpaka usiamini macho yako
.
ni kweli kuna watoto wengi humu ila wachache niliobahatika kuwajuwa wako amazing staki kuwataja.

unakutana na mtu !(just a friend) muelewa, msomi ,anajiheshimu etc etc..yaan in short ni gentleman

note: mtu wa hivyo ni ngumu sana kukubari kuwajua in and out mpaka umjue inabidi uwe smart. ahaaaaaa hope utapita hapa.
 
Mwanamke/mwanaume anapatikana popote pale na haimanishi MTU kutafuta me/ke mtandaoni anakasoro au shida flani.

Maisha yanabadirika sana dunia ya Leo ya mzungu kila kitu kiko easy watu hawana muda WA kuanza kufutana kama kuku.na kukimbizana ovyoovyo tu .

Mapenz popote ili mradi muelewane tu katika makubaliano yenu tatizo wanawake/wanaume sasa wameshasahau majukumu yao ndio maana kila mtu anatafuta katika mitandao ili kama atapata angalau mwenye kujua kucare kidogo
 
Kwa kweli sielewi mtu anakosaje mke/mpenzi huko kwenye maeneo yake,mi naona wanawake wapo wa kutosha,wenye sifa zote,wa kila aina,mtu anakosaje?

Juzi hapa niliamua kutembea tembea maeneo ya watu,nikashangaa kukuta hata watoto wakali na wa maana wanapatikana hata uswazi,nikajiuliza watu wanakosa nini?mbona uswahilini kuna watoto wa maana hata kuliko wa maofsini,na wanapatkana kwa garama ndogo?
Mmh
 
Back
Top Bottom