Not necessarly HE COMES FROM DIFF BACK GROUND REMEMBER! Hawezi kuwa sawa kimtazamo na sie! TO FREE YOURSELF FROM VICIOUS CYCLE OF POVERTY YOU NEED A PASS TO THE OTHER SIDE WHERE THE GRASS IS ALWAYS GREENER REGARDLESS OF THE SEASON!
Huyo wa kwenye mtandao pia ukishamzoea unamuona the same as unavyomuona wa mtaani au sehemu ya kazi unles otherwise u a luking for one night stand.
Jaribu kumpa mtu humu
wanaume wengine wanaotafuta wanawake mitandaoni ni waongo, na ukimkuta alie mkweli basi ujue ana tabia fulani ambazo huko mitaani hawezi kupata mwanamke
Kumbe ndo maana... nshaelewa sasa.Ni kweli aisee kama mtu ukimzoea unamuona si lolote si chochote hata huyo wa mtandao utamzoea na utamuona hivyo hivyo
Mbona u sound like the relationship wil strictly be online chief ,vp the way anabehave online ikiwa tofauti na in real life,bado utakua interested naye?
Bas naomba nikupe wewe
Mna take online very serious...mtu akiwa online ni mtu mwingine na akiwa mtaani ni mwingine.. ndo maana ya anonymous....mkikutana mnaanza stages za kufahamiana...usisahau watu wanajilinda na psychos pia.. so uongo na false infos ni kawaida...why nikwambie everything about me while sikujui enough?
Kwa kweli sielewi mtu anakosaje mke/mpenzi huko kwenye maeneo yake,mi naona wanawake wapo wa kutosha,wenye sifa zote,wa kila aina,mtu anakosaje?
Juzi hapa niliamua kutembea tembea maeneo ya watu,nikashangaa kukuta hata watoto wakali na wa maana wanapatikana hata uswazi,nikajiuliza watu wanakosa nini?mbona uswahilini kuna watoto wa maana hata kuliko wa maofsini,na wanapatkana kwa garama ndogo?
Mna take online very serious...mtu akiwa online ni mtu mwingine na akiwa mtaani ni mwingine.. ndo maana ya anonymous....mkikutana mnaanza stages za kufahamiana...usisahau watu wanajilinda na psychos pia.. so uongo na false infos ni kawaida...why nikwambie everything about me while sikujui enough?
Ni kweli aisee kama mtu ukimzoea unamuona si lolote si chochote hata huyo wa mtandao utamzoea na utamuona hivyo hivyo
Mm nimeshaona tutashindwana ulisema ww analogy
Kumbe ndo maana... nshaelewa sasa.
Kwa kweli sielewi mtu anakosaje mke/mpenzi huko kwenye maeneo yake,mi naona wanawake wapo wa kutosha,wenye sifa zote,wa kila aina,mtu anakosaje?
Juzi hapa niliamua kutembea tembea maeneo ya watu,nikashangaa kukuta hata watoto wakali na wa maana wanapatikana hata uswazi,nikajiuliza watu wanakosa nini?mbona uswahilini kuna watoto wa maana hata kuliko wa maofsini,na wanapatkana kwa garama ndogo?
Sasa hapa mi ndo sielewi....unaanzishaje mahusiano na anonymous? Huogopi kuopoa garasa?
Hivi kuzoea na kukinai kuna tofauti?
Analogy kwa maana ipi?
Mahusiano mengine mtu haanzishi..yanatokea tu...attraction is not a choice...na sio Lazima yafike popote yanaweza kufa natural death pia