Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu,naomba kujua mnakabiliana na changamoto gani huko nje hadi mje kutafta mabinti humu?

Maana sielewi inakuaje hadi unakosa mwanamke huko unakoishi hadi unakuja kulia humu kwamba upweke unataka kukuua.

Mbona mabinti ni wengi sana na wanapatikana kwa urahisi au mimi tu ndio naona hivyo? Tatizo ni nini?

je;
1. Mmekosa sifa za mabinti mnaoishi/kusoma /kufanya nao kazi?
2. Mko bize sana na kazi/shule hadi mnakosa muda wa kusocialize na watu[wanawake] hadi kuwapata?
3. Mabinti hawapatikani huko mnakoishi[wachache na wameshachukuliwa na wengine]?
4. Hao mnaoishi,soma au kufanya nao kazi hawana vigezo vyenu?
5. Udomo zege?[kama ndio hivyo hizi mitandao zisingekuepo mngefanyaje?mngebaka?

Kwa kweli sielewi hasa mwanaume unakosaje binti huko hadi uje kulia upweke hapa. Kumbuka: simaanishi kwamba wa humu hawafai au hawatakiwi,ndio hao hao tunaoishi nao.
Kwanza mimi mitaani najuwana na watu wengi sana lakini ni penfriend ndio aliwahi kunipandisha ndege mpaka Stockhom Sweden wakati huo hakukuwa na Facebook wala JF, inashangaza leo mtu mvivu wa kufikiriwanakuja na mada za kitoto kama hizi. Poor IQ
 
It is always interesting to meet some one new you never met before! Inachosha sanaa kutoka na watu unaowajua sababu unawajua tayari si loloye si chochote hawana jipya!

Can you pls listen to your self??
 
wanaume wengine wanaotafuta wanawake mitandaoni ni waongo, na ukimkuta alie mkweli basi ujue ana tabia fulani ambazo huko mitaani hawezi kupata mwanamke

Shule ya kutongoza hakuna kwa hiyo kutongoza kwa maandishi ni rahisi kuliko live uso kwa uso. Kuna wanawake wengine wanamajibu ya hatari kwa mtu mwenye heshima zake na mwenye nia ya kweli ya kumpata mwenza wa maisha yake, inakatisha tamaa kabisa na hasa ikiwa ni uso kwa uso.
 
Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu,naomba kujua mnakabiliana na changamoto gani huko nje hadi mje kutafta mabinti humu?

Maana sielewi inakuaje hadi unakosa mwanamke huko unakoishi hadi unakuja kulia humu kwamba upweke unataka kukuua.

Mbona mabinti ni wengi sana na wanapatikana kwa urahisi au mimi tu ndio naona hivyo? Tatizo ni nini?

je;
1. Mmekosa sifa za mabinti mnaoishi/kusoma /kufanya nao kazi?
2. Mko bize sana na kazi/shule hadi mnakosa muda wa kusocialize na watu[wanawake] hadi kuwapata?
3. Mabinti hawapatikani huko mnakoishi[wachache na wameshachukuliwa na wengine]?
4. Hao mnaoishi,soma au kufanya nao kazi hawana vigezo vyenu?
5. Udomo zege?[kama ndio hivyo hizi mitandao zisingekuepo mngefanyaje?mngebaka?

Kwa kweli sielewi hasa mwanaume unakosaje binti huko hadi uje kulia upweke hapa. Kumbuka: simaanishi kwamba wa humu hawafai au hawatakiwi,ndio hao hao tunaoishi nao.

MKUU: Naomba swali hili pia liende kwa wanawake wanaotafuta wanaume humu...
 
Kwanza mimi mitaani najuwana na watu wengi sana lakini ni penfriend ndio aliwahi kunipandisha ndege mpaka Stockhom Sweden wakati huo hakukuwa na Facebook wala JF, inashangaza leo mtu mvivu wa kufikiriwanakuja na mada za kitoto kama hizi. Poor IQ

1. Hakuna alietaka kujua kama ulienda sweden hapa,ni umbea wako tu.
2. Kujibu mada za kitoto inaonyesha una akili za kitoto.
3. Kutokwa povu mada za kitoto ni udhaifu mkubwa.
4. Heri mimi nina poor iq,ntaiimrove iwe better,wewe una zero iq,tablalasa.
5. Mada haikuhusu pita kushoto,sijakutaja hapa uje kuchangia.
 
Nashawishika na hoja yako

ni kweli kabisa, mimi nina rafiki yangu, anakaribia 37, alisubiri sana mtaani mpaka amekata tamaa, mwisho akaamua kuwa member wa mitandaoni yani yeye kila mtandoa yumo asa long as anajua kuna uwezekano wa kupata mwanaume jamani wanaume anaokutana nao ni balaa hapo ndo nika prove kwamba hakuna waume humu
 
ni kweli kabisa, mimi nina rafiki yangu, anakaribia 37, alisubiri sana mtaani mpaka amekata tamaa, mwisho akaamua kuwa member wa mitandaoni yani yeye kila mtandoa yumo asa long as anajua kuna uwezekano wa kupata mwanaume jamani wanaume anaokutana nao ni balaa hapo ndo nika prove kwamba hakuna waume humu

Daaah so sad....mambo haya hayana formula....unaweza kupata popote lakini kukomaa mtandaoni kutafuta mume/mke mi naona ni hatari kwa kweli
 
Rejea kwenye mada kuu nilieleza maeneo yake maana yake nini,anakoishi,kufanyia kazi,kusali/swali,kusoma,kutembelea. Sasa wewe niambie kama jf ndio eneo lako kwako wewe,yaani kama unaishi jf.

Hizo red ni tosha JF kuwa included!

1. Kufanyia kazi JF (labda ni mwandishi, mod au member yoyote ambaye kazi zake zina uuwiano na JF)

2. Kusoma: member anayesoma habari mbali mbali humu JF kila mara

3. Anatembelea: member anayetembelea kwenye mitandao ya kijamii (JF)
 
Hizo red ni tosha JF kuwa included!

1. Kufanyia kazi JF (labda ni mwandishi, mod au member yoyote ambaye kazi zake zina uuwiano na JF)

2. Kusoma: member anayesoma habari mbali mbali humu JF kila mara

3. Anatembelea: member anayetembelea kwenye mitandao ya kijamii (JF)

1. Sawa.
2. Sio sawa,kusoma namaanisha shule unayosemea taaluma flani na kupewa cheti.
3. Kutembelea namaanisha a physical place,kama Morogoqo,Bukoba, Mbezi nk.
 
We ni wa kikeni au vipi? Una miaka mingapi, wewe na wenzako wangapi mmetongozwa kupitia humu. Unafikiri kwa uelewa wako kutongoza kuna kanuni? kweli division five zitatusumbua sana humu.
 
1. Hakuna alietaka kujua kama ulienda sweden hapa,ni umbea wako tu.
2. Kujibu mada za kitoto inaonyesha una akili za kitoto.
3. Kutokwa povu mada za kitoto ni udhaifu mkubwa.
4. Heri mimi nina poor iq,ntaiimrove iwe better,wewe una zero iq,tablalasa.
5. Mada haikuhusu pita kushoto,sijakutaja hapa uje kuchangia.

1. Unaposema hakuna anayetaka kujuwa nilikwenda Sweden elezea kikao hicho mlikaa wapi na wewe ukateuliwa kuwa msemaji wao.

2. Watotn lazima wajibiwe ili wasilete mambo ya kitoto hapd badala yake wafungulie channel ya cartoon ndio zinawafaa.

3. Kama unadhani mimi ni dhaifu mlete dada yako na ikibidi mama yako atakupa testimony.

4. Wewe hukupaswa kuwa na ubongo maana uti wa mgongo tu ungalikutosha maana huna matumizi na ubongo.

5. Thread zote zikishapostiwa hapa ni mali ya JF huna haki wala mamlaka ya kupanga lolote kula kulala wewe.

6. Kama umechukia fanya hivi, chukuwa mto na shuka nenda katikati ya barabara ya Sam Nujoma tandika shuka yako lala.
 
Ukiona hivyo ujue wa mtaani timeshawamaliza...ndio tumehamia huku...
kwani mkuu wewe hupendi nimng'oe lara1....???....
 
Last edited by a moderator:
Jaman mimi ni kijana nina umri wa miaka 28,natafta mchumba humu jf.
SIFA
1. Awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza
2.Asiwe na makuzi
3.Asie mvivu hasa kwa kazi za ndani
4.Apende ndugu zangu
5.Awe tayar kuish popote
.
'
.binti aliye tayar ani pm kwa maelezo zaid
 
1. Unaposema hakuna anayetaka kujuwa nilikwenda Sweden elezea kikao hicho mlikaa wapi na wewe ukateuliwa kuwa msemaji wao.

2. Watotn lazima wajibiwe ili wasilete mambo ya kitoto hapd badala yake wafungulie channel ya cartoon ndio zinawafaa.

3. Kama unadhani mimi ni dhaifu mlete dada yako na ikibidi mama yako atakupa testimony.

4. Wewe hukupaswa kuwa na ubongo maana uti wa mgongo tu ungalikutosha maana huna matumizi na ubongo.

5. Thread zote zikishapostiwa hapa ni mali ya JF huna haki wala mamlaka ya kupanga lolote kula kulala wewe.

6. Kama umechukia fanya hivi, chukuwa mto na shuka nenda katikati ya barabara ya Sam Nujoma tandika shuka yako lala.

Umeshinda mkuu.
 
Back
Top Bottom