The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Mshike shike ndege tunduni wengine wasije kimbiaChauro Mpenzi hebu check Finest aliboniwahi (atakua na agenda zake huyu... Khaa!)
Khaaa!!! PA Umelenga hapo nini??? lol
Hahaha!!! Boss wadada huwa wanapenda jinsi Fally anavyokata mauno yake, sasa huku sisi ukianza kukata mauno watu wanakutengenezea picha nyingine lol!!
The Finest
Boss anakupandisha mkenge ................
Wengine wanababaishwa na sauti ya mwanamme .......mauno hayahusu
unanipa hamu ya kukupigia simu uisikie sauti yangu lol
halafu nione reaction yako lol
Hahaha!!! Boss sijui alihudhuria ile shoo ya Fally alipokujaThe Finest
Boss anakupandisha mkenge ................
Wengine wanababaishwa na sauti ya mwanamme .......mauno hayahusu
teh teh teh...kama Bob Junior
Chauro Mpenzi hebu check Finest aliboniwahi (atakua na agenda zake huyu... Khaa!)
Khaaa!!! PA Umelenga hapo nini??? lol
Hahaha!!! Boss sijui alihudhuria ile shoo ya Fally alipokuja
Hahaha!!! Joune mauno yana apply sehemu zingine bana lol,Mkuu umenipa kazi ya ziada hapa, najaribu kupata picha ukiwa unakata mauno kama Fally.... Lol
Hahaha!!! Boss sijui alihudhuria ile shoo ya Fally alipokuja
Huogopi kufelishwa?
Mshike shike ndege tunduni wengine wasije kimbia
Mshike shike ndege tunduni wengine wasije kimbia
Boss alimuona Mboni aka Kim K wa Bongo alivyombabaikia Fally, akajua baaasi mauono ndo mpango mzima!
lol.......the harder the exams
the more i like it lol
switiii ameusuza mtima wangu naona haka kauchawi kanafanya kazi bwana, nimeduwa namsikiliza Shai-conforter weka basi na zile za kwetu.
Hahaha!!! Boss kata mauno uone utakavyoanza kuhisiwa lol!!ndio wabongo walivyo....akiwa ni mcongo watasema ana kipaji cha aina yake....
lakini mbongo utasikia 'si bure yule'kuna kitu lol
Siku ile mabaunsa walikuwa na kazi ya ziada kuzuia wadada kuliko wanaumeuliona wadada wanaojifanya 'masocialite' wa dar walivyokuwa wanajipeleka bure bure kwa fally????/
Halafu na jinsi siku ile alivyokuwa amevaa ameacha chuchu na kitovu wazi ndio kabisa lol!!!Boss alimuona Mboni aka Kim K wa Bongo alivyombabaikia Fally, akajua baaasi mauono ndo mpango mzima!
yani mimi huyo Mboni
hata kuongozana nae tu nitaona 'kashfa'
anavyo kuwa cheap na 'akina etoo na fally' hadi aibu..
Kwa yule wangu anayenigusa mtima napenda kumtumia wimbo huu wa Mzee Yusuf uitwao "My Valentine".
yani mimi huyo Mboni
hata kuongozana nae tu nitaona 'kashfa'
anavyo kuwa cheap na 'akina etoo na fally' hadi aibu..
Mpaka kwenye mahandaki kama vile GadaffiJust make sure uko tayari kumfuata Moro....lol... Uko tayari kutoka "Dar mpaka Moro"??
:shock::shock::shock:Chauro taratibu Mpenzi... familia ya hao jamaa ni "heart Breakers" lol