KWA WANAUME PEKEE: Mahitaji ya mwanamke ni nini?

KWA WANAUME PEKEE: Mahitaji ya mwanamke ni nini?

We ndo hujielewi sababu mtu akishakuwa mke maana yake anakuwa entitled kuwa sehemu ya mume. Kwa hali na mali so mke huwezi kumuita gold digger in anyhow. Labda awe bad spender.

Golddigger ni mwanamke ambaye hajaolewa ila anataka treatment ya mke wa ndoa na mostly qnawazia hela tu ya mwanaume ili kutimiza fantasy zake. Goldigger haongezi thamani yeyote kwa mwanaume ila ni parasite
Tuendelee kusaka pesa kaka. Alafu mbona unataka ku panic brother 😁
 
We ndo hujielewi sababu mtu akishakuwa mke maana yake anakuwa entitled kuwa sehemu ya mume. Kwa hali na mali so mke huwezi kumuita gold digger in anyhow. Labda awe bad spender.

Golddigger ni mwanamke ambaye hajaolewa ila anataka treatment ya mke wa ndoa na mostly qnawazia hela tu ya mwanaume ili kutimiza fantasy zake. Goldigger haongezi thamani yeyote kwa mwanaume ila ni parasite
Oya alafu nahitaji Kirikuu , Carry moja safi
 
Huwa nashangaa mwanaume kutwa upo bize kutaka kumridhisha mwanamke,hio ni Kazi ya kusomba maji ya bahari kwa kijiko. Jukumu la mwanaume ni kutimiza majukumu yake KWA mkewe asipotosheka sio wajibu wako, Mwache akasake wanamtosheka, kushindana nao ni kusaka maradhi ya moyo, kisukari, na pressure bure, hata uwatendee vipi wema ni lazima wawalishe watoto sumu kwamba ulishindwa kutimiza wajibu wako.
 
Duh! kuwaelewa hawa viumbe inahitaji moyo ukiwa na pesa anahitaji attention,ukimpa attention anahitaji pesa.
ukiwa mkimya na mpole hapend anataka mcheshi na muongeaji,ukiwa muongeaji na mcheshi hataki anataka mkimya na mpole.
 
Ni fikra zilizojengeka vichwani mwa asilimia kubwa ya sisi wanaume, kuona hitaji ni pesa na kusahau pesa ni kifaa cha kurahisisha mahitaji, kuzidi au kupungua kwa pesa, kila hitaji linakuwa kwa kiwango chake. Wingi au uchache wa fedha haufanyi mtu asiwe katika ulimwengu wa mahusiano na ndoa.
 
Unaweza kunionesha mtu ambaye hatafuti pesa?

Hata wagonjwa hospitalini wana tafuta pesa ya matibabu.

Hii lugha ya kijinga tutafute pesa haina mashiko, na isitoshe kila mtu ana pesa tunazidiana viwango tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom