Kwa wanaume, piga simu kwa baba yako umwambie unampenda kisha uturudishie majibu hapa

Kwa wanaume, piga simu kwa baba yako umwambie unampenda kisha uturudishie majibu hapa

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Hili zoezi lilifanywa siku ya baba duniani Kenya, ambapo wanaume waliambiwa wawapigie simu baba zao na kuwaambia wanawapenda. Wengine walikuwa hawajawahi hata siku moja kuwaambia baba zao wanawapenda.

Uko tayari kujaribu zoezi hili? Tuambie baba yako alijibu nini ulipomwambia unampenda.

Angalia mwenyewe baba zao walivyojibu 👇👇

 
Kwa sisi Wanawake kuwaambia Mama zetu kua Nakupenda sana Mama yangu yaan kawaida sana and personal kwangu ni kila mda napoongea na Mama yangu kwenye kuagana nae lazima nimwambie Nakupenda sana Mama yangu 😍

Ata Baba yangu ilikua ivyo too bad ameshatangulia mbele ya HAKI 🎀😍🙏
 
Unamwambiaje mwanaume mwenzako unampenda?

Acha stori mtumie muamala na kumtakia siku njema ya Baba Duniani
 
Back
Top Bottom