The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
wewe hujasema jembe lako unalitumia baada ya muda gani kupita.
hahahahah...ebwana eeehBaada ya miaka kumi.... likisimama, mtoto anaweza KUBEMBEA!
Asprin na Nyamayao...hivi mweka hazina ndo unakusanya mchango kwa matarumbeta?
Katibu hebu i minute hii ASAP....
kwi kwi kwi...hapo chachaengine ya bito uweke kwenye range, wapi na wapi.
tusi kubwa sana hilo kaka yangu heshima ya mwanamke ndio iko hapo. Unaweza kuwa na sura na shepu mbaya lakini uko kukiwa swafi unaheshimika kuliko miss world
Mi namwona kwenye sala fulltime....wewe huoni?
Hapa mnazungumzia kilimo kwanza? Rato, jembe n.k.
ndio mana hatakiwi kujua hii ID coz hizi bla bla ninazomwaga humu na home nilivyo mkali haa patawaka moto cku hiyo...lol....lakini ni huyu Asprin ananisababishia yote haya...ndo mana cmpendi....:confused2:
labda sababu sisaligi ndio mana hatukumbani.
hehehehehehe!:A S 8:Kilichokuleta huku kwenye sredi ya wakanamizaji ni nini?
Hata wewe nikiangalia mdomo wako najua kikojoleo chako kina dayameta gani....:A S 8:
Wakuu nimepokea PM kutoka kwa mshikaji anaulizia kwa wazoefu hivi mwanaume akikaa miaka kama kumi bila kufanya tendo, jembe lake litakuwa kubwa ama litapungua?
Wakuu na wazoefu msaada tutani!
Kukumbana kwenye sala? Huwa tunafumba macho wakati tunasali..
Kilichokuleta huku kwenye sredi ya wakanamizaji ni nini?
Hata wewe nikiangalia mdomo wako najua kikojoleo chako kina dayameta gani....:A S 8:
Asprin na Nyamayao...hivi mweka hazina ndo unakusanya mchango kwa matarumbeta?
Katibu hebu i minute hii ASAP....
Sure! Na mwanamme rijali anayekaa miaka kumi bila kukandamiza, mi nadhani ana matatizo. Ningekuwa Mungu ningemnyang'anya hicho kifaa na kumpa kile cha jinsia nyingine. Hayo ni matumizi mabaya ya kifaa cha kazi! God forbid!
[
Mkuu jembe lako lingekuwa kama chaki ama kifutio nadhani lingekuwa halipo kabisa!
:A S confused:πound:πound::behindsofa::behindsofa::lalala:
Sorry jamani....napita tu!!!:becky::becky:
hahahahahahhaha............
Kanuni zinaruhusu?Hii siwezi kui-minute hata kwa amri ya pope....:confused2:
Wewe unanitendesha dhambi... ngoja nikaungame.ndio mana ckuonagi, unavyopenda matuc sasa, yani leo hutabanduka kwenye hii thread....
Hahahaha! Kikazi zaidi, jasiri haachi asili...Hakiachwi kitu hapa mwenyekiti...labda kwa lengo maalum...:A S 8:
:welcome::welcome::welcome::confused2::confused2::confused2:
Ebwanae twenzetu bana bia zinapoa. Kina eliza wanabipu hapa!Smiles hivi jembe lako lina miaka ooppps dah keyboard keypad zake zimegeuka juu chini ngoja nichukue :glasses-nerdy::glasses-nerdy: nione kama nimeandika sawa sawa