hahahahahahhaha............
Smiles naweza kuongea na wewe kidogo? Ni ishu za kichama...:A S 100:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahhaha............
Ili mradi tu msijisahau kwakuwa big braza ODM is here :A S embarassed:Smiles naweza kuongea na wewe kidogo? Ni ishu za kichama...:A S 100:
we si ulisema unapita tu, mbona umeweka kituo tena!
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2: ngoja ni :A S 100::A S 100::A S 100::A S 100:Nyamayao (Mnato ) wewe Kiboko !
lakini mie najijua mnato, sasa huoni umenidhalilisha? au unataka nikuhakikishie?
Kilichokuleta huku kwenye sredi ya wakanamizaji ni nini?
Hata wewe nikiangalia mdomo wako najua kikojoleo chako kina dayameta gani....:A S 8:
Engine yako kama vile ina matatizo, maana haishi kuchemsha..
Wakuu nimepokea PM kutoka kwa mshikaji anaulizia kwa wazoefu hivi mwanaume akikaa miaka kama kumi bila kufanya tendo, jembe lake litakuwa kubwa ama litapungua?
Wakuu na wazoefu msaada tutani!
:doh::doh::doh:
lakini mie najijua mnato, sasa huoni umenidhalilisha? au unataka nikuhakikishie?
Asprin na Nyamayao...hivi mweka hazina ndo unakusanya mchango kwa matarumbeta?
Katibu hebu i minute hii ASAP....
Sorry kuingilia ishu zako na Asprin...ila utakapomhakikishia ukumbuke kuna katibu na mwenyekiti....:A S 8:
Wakuu nimekumbuka biolojia ya kidato cha sita, mwenzenu sikusoma shule za kata !Kwenye evolution biology kuna law of use and disuse which states that the size of a structure is modified by how much it is used. Kwa maana hiyo kama jembe linatumika sana basi litakuwa kubwa sana lol (Namkumbuka Liyumba) na kama halitumiki basi litapoteza kazi yake (Vestigial organ). Wazee hii vipi?
Heheheh....hatimaye mwenyekiti ameamka!!
Maana "dada na kaka" walikuwa wanataka kuharibu....:confused2::confused2::confused2:
Smiles hivi jembe lako lina miaka ooppps dah keyboard keypad zake zimegeuka juu chini ngoja nichukue :glasses-nerdy::glasses-nerdy: nione kama nimeandika sawa sawa
we si ulisema unapita tu, mbona umeweka kituo tena!
Smiles naweza kuongea na wewe kidogo? Ni ishu za kichama...:A S 100: