Kwa Wanaume TU- Jamani Jembe!!

Kwa Wanaume TU- Jamani Jembe!!

Engine yako kama vile ina matatizo, maana haishi kuchemsha..

Hahahahahahahha............
uwiiiiiiii I cant stop laughin.........
heheheheheheehe................😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:
 
Wakuu nimepokea PM kutoka kwa mshikaji anaulizia kwa wazoefu hivi mwanaume akikaa miaka kama kumi bila kufanya tendo, jembe lake litakuwa kubwa ama litapungua?



Wakuu na wazoefu msaada tutani!


Mchungaji Masa,

Hapa naona kuna mkanganyiko wa mambo mawaili.

1. Umbo (structural features): Hizi haziwezi kubadilika kwa sababu misuli yake siyo kama ile vifua vya wabeba chuma. Kama ingekuwa hivyo mhh.... kuna watu wnegi wangepata msaada wa daktari katika harakati zao za kurudisha heshima kwenye ndoa zao na huko mtaani!
2. Utendaji kazi (performance): Huu unatokana na kujifunza. Kadri unavyofanya zaidi ndio unavyokuwa na uzoefu zaidi na kumudu kazi. Ila huu uzoefu unaptea kadri unavyopunguza uwajibikaji. But the good thing is that, it can be learned againa and re-acquired.

Bado una swali???

DC
 
lakini mie najijua mnato, sasa huoni umenidhalilisha? au unataka nikuhakikishie?

Sorry kuingilia ishu zako na Asprin...ila utakapomhakikishia ukumbuke kuna katibu na mwenyekiti....:A S 8:
 
Asprin na Nyamayao...hivi mweka hazina ndo unakusanya mchango kwa matarumbeta?

Katibu hebu i minute hii ASAP....

Heheheh....hatimaye mwenyekiti ameamka!!
Maana "dada na kaka" walikuwa wanataka kuharibu....:confused2::confused2::confused2:
 
Wakuu nimekumbuka biolojia ya kidato cha sita, mwenzenu sikusoma shule za kata !Kwenye evolution biology kuna law of use and disuse which states that the size of a structure is modified by how much it is used. Kwa maana hiyo kama jembe linatumika sana basi litakuwa kubwa sana lol (Namkumbuka Liyumba) na kama halitumiki basi litapoteza kazi yake (Vestigial organ). Wazee hii vipi?

Haaahaaa. Yule jamaa alikuwa analitumia hata mara kadhaa kwa siku sasa hivi lazima litakuwa ndio chanzo cha magonjwa, hata tuuvimbe tu maana halijazoea.
 
Heheheh....hatimaye mwenyekiti ameamka!!
Maana "dada na kaka" walikuwa wanataka kuharibu....:confused2::confused2::confused2:

unajua kuna wakati Asprin ananiudhi kweli mpaka ananifanya natenda dhambi....
 
Mbona wadau mashindwa kuelewa? Je panga ambalo umeliweka tu nyumbani litakuwaje? litashika kutu na mwishowe makali hamna. Ila kama utakatia miti kidogo litakuwa kali kiasi. Vivyo hivyo 'jembe' lako ukiliacha bila ya kulipa msuguano mwishowe halina kazi. Ushauri wa kitaalam wa bure.
 
Smiles hivi jembe lako lina miaka ooppps dah keyboard keypad zake zimegeuka juu chini ngoja nichukue :glasses-nerdy::glasses-nerdy: nione kama nimeandika sawa sawa

Eti....?? :fencing:
 
Back
Top Bottom