Mkuu mengi hapo ni story za vijiweni..
Mfano, umesema moja ya dalili za kua una upungufu nguvu za kiume ni kua na kibamia, huo ni uongo mkuu uume mdogo hauhusiani na ns izo mambo labda point yako ungeiweka kua kukosa kujiamini.
Kingine umeipiga vita chaputa bila uthibitisho wowote wa kisanyansi, ni kosa kubwa sana hilo ndgu yangu. Punyeto itakuathiri ukiwa mraibu wa iyo kitu, piga kwa kiasi.
Kingine cha muhimu zaidii ulichosahau kwenye uzi wako, ni kumuandaa vyema manzi utaweza piga izo dk 20 zako ukaishia kumchubua mtoto wa watu. We unasukumiza tu bila ujuzi aisee utasanda kijana. Muandae mwenza vizur hata cha kwanza kikiwah atakua nae keshapiga kimoja tayar, then unafidia mbeleni, ukipanda kama punda tu utakimbiwa.