Hivi Asprin na Kaizer ndio wameenda kujisalimisha kwenye nyumba ndogo kwanza halafu ndio warudi (Natumaini shem wangu PA ataona comment hii) maana huyu bro nae simuelewi siku hizi ana disappear bila maelezo
Shem afazali umpe angalizo huyu dogo. Asije akaiga tembo kuachia mashuzi...... Mwambie kuna dogo mwenzie kaanzisha sredi kule anataka kufundishwa ni muda upi mzuri wa kufanya mapenzi.....khaa! JF zaidi ya niijuayo!PA haya ni maandishi tu dearest... Chukua Diary kama umeeandika ya humu chana zooote! labada kama umenakili post yangu tu!! lol (hawa jamaa usipoangalia waweza potea... waache hivo hivo)
Hivi na hao wahudumu wanavyobadilishwa na walevi nao ni nyumba ndogo au wapita njia?
Yamepita mengi, na si unajua nna mahaba na mwandiko wako? Hebu nipe contacts za mwalimu wako wa mwandiko anifunzie na Matesha wangu bana.......... Na hapa unaandika kwa herufi ndogo, ukiandika kwa herufi kubwa ODM mbona atakufa akikumisi. (Naomba umpe hommie limbwata, naona anamnyemelea soulmate wangu Gaga ambaye pia ni dada yako)
Shem afazali umpe angalizo huyu dogo. Asije akaiga tembo kuachia mashuzi...... Mwambie kuna dogo mwenzie kaanzisha sredi kule anataka kufundishwa ni muda upi mzuri wa kufanya mapenzi.....khaa! JF zaidi ya niijuayo!
Oh.... RIP mwalimu wa Shem.....(Shem wanionea bure ujue.....Mi mwenyewe ndo huwa nanunua limbwata nampa anigee, ntalegezaje? Au anampa na hommie? Itabidi tuunde tume wallah)Mwandiko ODM.... Oh! she was a great Indian teacher.... pause kidogo tumkumbuke....................... Inataosha.... No contacts, mie mwanafunzi wake sasa ndio mwalimu, with permission from my Love tutaanza tuisheni mara moja! (we ndo umeliegeza Mapenzi kwa Gaga... kwa ujenzi unaotaka kufanya... Hivo Sweetie anampoza asiumie saana)
Oh.... RIP mwalimu wa Shem.....(Shem wanionea bure ujue.....Mi mwenyewe ndo huwa nanunua limbwata nampa anigee, ntalegezaje? Au anampa na hommie? Itabidi tuunde tume wallah)
The above Posts have been DELETED By "PAINKILLER" With Collaboration with "INNOVATOR"
Darling Kaizer na Darling Shem ODM bahati nzuri hizi posts zimefutwa na sijazisoma!!!! Khaaa!! (alafu nyie msipoangalia nyie.... Ohooo!!!)
Very funnyOups! Nashukuru PAW hajaziona, tungewekwa lupango na hommie wangu, ningeongea na King'asto (damn hili jina bana, khaa) aniazime ile kitu yake..... BTW hivi unajua navyokumisi? hebu do the needful!
i mean this, yaani soulmate umeacha wamekuibia password kabisaaaaaa, wanataka tugombane, ngoja niondoke ofisini niende home kwanzaHommie kwanini tuna nini mimi na wewe? Hujui muda wangu bado haujafika? LOL
Siku ya kwanza unatesti Zari - Hotelini with condom, na ulevi kumkichwa
Siku ya pili unathibitisha ulichokipata hotelini kama ni for real - Guest House with condom na ulevi kumkichwa
Siku ya tatu unataka kuhakikisha kama ni kweli - Guest house with condom, bila ulevi kumkichwa
Siku ya nne chumbani kwake bila condom
Siku ya tano unarudia room kwake
Siku ya sita unamwonyesha namba za simu za mkeo, ili waifu akistuka akampigia apokee kwa tahadhari
Siku ya saba ukitoka kazini unapitia kwake
Siku ya nane, unachangia kodi ya nyumba
Siku ya tisa unanunua samani za ndani
Ukiweka interval ya siku tano tano katika matukio hayo utakuta tisa mara tano ni 45. Kama unajua kufanya approximation, utakuta kama mnamegana kwa miezi miwili consecutively huyo tayari anakuwa kishakuwa nyumba ndogo
Gaga, my soulmate tafazali usiisome hii posti, ni kwa ajili ya makahaba, mashangingi, mamalaya, mashankupe, machakubimbi na mianaume yao isiyorizika na nyumba zilizoezekwa kwa vigae na badala yake kukimbilia kwenye vibanda vilivyoezekwa kwa mabati ya madebe vinavyovuja mvua ikinyesha.
Khaaa! Ngoja nimPM Kaizer nimwulize kama anafahamu maana ya Kaizari....akisema anajua maana yake atakoma, manake itabidi arudishe chenchi yako!.Ukilitamka hilo jina nashtuka sana...... sijui namfananisha hommie na Kaizari?
Khaaa! Ngoja nimPM Kaizer nimwulize kama anafahamu maana ya Kaizari....akisema anajua maana yake atakoma, manake itabidi arudishe chenchi yako!.
Mi pia nakushangaa, ulikuwa kwenye ile nyumba ya makuti inayovuja kama ya ODM au?.. Mi sijambo RR! Mwambie huyo nyumba ya makuti aache tabia ya kuloweka suruali bana!...Hivi nilikua wapi hadi nakuta wajenzi washajenga magorofa yao madogo hapa....
Hujambo SL?
Mi pia nakushangaa, ulikuwa kwenye ile nyumba ya makuti inayovuja kama ya ODM au?.. Mi sijambo RR! Mwambie huyo nyumba ya makuti aache tabia ya kuloweka suruali bana!...
Hahahaha! Kila dakika chumba kimefukizwa udi..nazi mpaka kwenye maji ya kuoga...lol...huyo nna hakika ushampatia na namba za my wife wako...nyumba nyingine ni balaa...hapa hata kazini naenda kwa ruhusa maalum, chezea nyumba ndogo toka tanga.
Hahahaha! Kila dakika chumba kimefukizwa udi..nazi mpaka kwenye maji ya kuoga...lol...huyo nna hakika ushampatia na namba za my wife wako...
Hivi nilikua wapi hadi nakuta wajenzi washajenga magorofa yao madogo hapa....
Hujambo SL?
hahahaa...huyu anafaham hadi nyumbani kwa nyumba kubwa....kilichobaki ni kungoja rescue yako! btw, hapa thredi inasemaje?
Soulmate shhhhhh (majirani watasikia, ongea mdogo mdogo bana)i mean this, yaani soulmate umeacha wamekuibia password kabisaaaaaa, wanataka tugombane, ngoja niondoke ofisini niende home kwanza
Ngoja niangalie salio kwenye wallet yangu nione kama kuna umuhimu wa kwenda kwenye ATM.Khaaa! Ngoja nimPM Kaizer nimwulize kama anafahamu maana ya Kaizari....akisema anajua maana yake atakoma, manake itabidi arudishe chenchi yako!.
Jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi, tena la pembeni.Hivi nilikua wapi hadi nakuta wajenzi washajenga magorofa yao madogo hapa....
Hujambo SL?
Hapa ntahitaji kuombwa radhi. On serious note with seriousness kwa hisani ya PAW.Mi pia nakushangaa, ulikuwa kwenye ile nyumba ya makuti inayovuja kama ya ODM au?.. Mi sijambo RR! Mwambie huyo nyumba ya makuti aache tabia ya kuloweka suruali bana!...
:mvutaji:nyumba nyingine ni balaa...hapa hata kazini naenda kwa ruhusa maalum, chezea nyumba ndogo toka tanga.
:smokin:Hahahaha! Kila dakika chumba kimefukizwa udi..nazi mpaka kwenye maji ya kuoga...lol...huyo nna hakika ushampatia na namba za my wife wako...
Naenda kuikana signature yangu...........! Afu nakusemea kwa nyumba ya vigae.hahahaa...huyu anafaham hadi nyumbani kwa nyumba kubwa....kilichobaki ni kungoja rescue yako! btw, hapa thredi inasemaje?
Kibaya zaidi nasikia kiwanja chenyewe kimenunuliwa na mtoto wa Gadaffi........ hommie, utahudhuria mazishi ya hommie?Hommie....ex Saint RR....hapa naona unataka kuanza ujenzi ila nikutahadharishe hiki kiwanja kimeshanunuliwa na mtu na ana hati kabisa...lol