Kwa Wanaume tu: Tunapoamua Kujenga Nyumba Ndogo

Kwa Wanaume tu: Tunapoamua Kujenga Nyumba Ndogo

wow snowhite thats rite on hiyo menu imekaa vizuuuri kabisa..... nitarudi tu lazima kuja kula chapati, chai, na vyengine, chumbaniiiii kama kawaida. Ukifanya yote haya lazima uwe rewarded accordingly
mwisho wake utajikuta tu kinywa na akili vinajiuliza hivi mbona najihangaisha!mie kimya!
 
mwisho wake utajikuta tu kinywa na akili vinajiuliza hivi mbona najihangaisha!mie kimya!

Hahahha umeona eeh? Kufikia uamuzi huo ni kwa vile nyumba kubwa inakuwa imetimiza mahitaji yooote ya mwenye nyumba kama ulivoainisha hapo juu!
 
Back
Top Bottom