mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
kama nawaona vile hahaha poleni[emoji23]si bora ungekua wewe kuliko yule mshenzi uhuni aliotufanyia
We vuta tu picha vile tunajuaga kujiachia tunapojua tuko ke wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama nawaona vile hahaha poleni[emoji23]si bora ungekua wewe kuliko yule mshenzi uhuni aliotufanyia
We vuta tu picha vile tunajuaga kujiachia tunapojua tuko ke wenyewe
Sio cocastic huyo?mana huyo Ni mwanaume Kwa Mbele mwanamke kwa nyumaAcha tu niishie hapo maana yumo humu
Ila alijua kutuchefua[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Sio cocastic huyo?mana huyo Ni mwanaume Kwa Mbele mwanamke kwa nyuma
Mambo kama hayo yanasikitisha sana...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku topic ilihusu [emoji1533]nilishindwa kuvumilia[emoji1787][emoji1787]
Hahahaha[emoji23]Hii bwana ilitutokea kwenye group letu tulikuwa tunajijua tupo wanawake tupu
Kumbe kuna mwanaume na anaingia inbox kutongoza mwisho wa siku watu wakaongea kuna mwanaume humu anatutongoza na kuleftishwa hapohapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teenaah uniache wee babuuuh lol, unataka mjukuu mkweo akuue? Unajua anapata utamu gan ktk mdomo angu? UwiiiiHuna adabu hicho kimdomo kuna siku takifyonza mpaka[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]kiache misonyo...!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huna akili khaaahIla nikifaudu loh[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii bwana ilitutokea kwenye group letu tulikuwa tunajijua tupo wanawake tupu
Kumbe kuna mwanaume na anaingia inbox kutongoza mwisho wa siku watu wakaongea kuna mwanaume humu anatutongoza na kuleftishwa hapohapo
Usinitamanishe sasa loh[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].. Maana siku hizi naambiwa sio asali tena ni pipi kifua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teenaah uniache wee babuuuh lol, unataka mjukuu mkweo akuue? Unajua anapata utamu gan ktk mdomo angu? Uwiiii
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilid...[emoji23][emoji23] mpaka nikawa naumwa