sjosh4
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 888
- 941
Habari wana forums naomba 2share mawazo wanaume zipi sifa au mambo muhimu kwenye chumba cha kulala cha mwanaume
Inategemea na uwezo, kama uwezo wako unamudu, Kitanda, Tv, Mziki, Pc, Jiko but sio Muhimu, kama uwezo kawaida kitanda na jiko. kinachofanya geto liwe zure au baya ni usmart wa mwenye ghetto