Mzuanda ukitaka mwanaume asiyeoga aoge kila mara jifunge taulo mwambie tukaoge wote hamna atakaekataa,kuhusu nguo ukiona chafu ziloweke na muandalie zingine,kwapa na hapo chini unaweza kumsaidia akizoea ataendelea mwenyewe.Mswaki mwambie hamna busu mpaka akapige mswaki.
Yeah tena kama ule wa Amazon. Is that a deal breaker for you?
Kwa baadhi yetu nyie mlio wachafu!
Unajisikiaje kulala bila ya kuoga? na tena kulala na kumkumbatia mpenzi/mke wako huku unanuka jasho
jamani mnatupa karaha,jaribuni kuwa wasafi mkishaanza kuishi na mke/mpenzi wako.
Ukioga sio kwamba ndio unakuwa sharobaro, jirekebisheni.
Subiri niwakumbushe
1-kuoga ni mara 2 kwa siku, asubuhi na jioni
2-mswaki mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni
3-soksi zinavaliwa si zaidi ya siku mbili
4-chupi inabadilishwa mara mbili kwa siku(ila kwa nyie acha iwe mara moja)
5-shati ni mara moja
6-vest mara moja
7-makwapa (ku shave)angalau yakumbuke mara moja kwa mwezi
maana utakuta mtu manywele ya kwapa yamekuwa ya njanoo(blonde) inakuaje?
8-huko kwa mzee pia msisahau kupunguza hivyo vinyweleo
Kufanya usafi wa nyumba tutawasaidia
Ukiwa single utajijua mwenyewe ila ukiwa na mwenzako jaribu kumfikiria kwa afya yake na yako pia maana making love is a dirty game kwahiyo ukichanganya na uchafu wako basi inakuwa kinyaa baada ya ku enjoy unafikiria huyu mtu atashuka saa ngapi.
Mzuanda ukitaka mwanaume asiyeoga aoge kila mara jifunge taulo mwambie tukaoge wote hamna atakaekataa,kuhusu nguo ukiona chafu ziloweke na muandalie zingine,kwapa na hapo chini unaweza kumsaidia akizoea ataendelea mwenyewe.Mswaki mwambie hamna busu mpaka akapige mswaki.
Alafu wewe....
Lizzy Licious.............
Shukran dear naona umewapa vyao nina iman umewagusa walio wengi mpendwa, hebu nyie wanaume jirekebisheni msiwape shida wenzenu
Miafrika Ndivyo Tulivyo
Gunia halijazwi upepo.......
Ndio maana nakupenda kwa kunielekeza taratibu na kunisaidia dearest.Kweli dearest...
Nenda nae bafuni apate raha ya kusuguliwa mgongo kila ukiona anaonyesha uvivu kwenda kuoga...mwishowe atazoea bila hata ugomvi atakua anaoga mwenyewe!Mambo ya kunyoa msaidia...na nguo mpangie!Sidhani kama atavaa chafu wakati umeshamtundikia safi bafuni au umemwekea kitandani!!Mazoea hujenga tabia kwahiyo baada ya muda haya yote atakua anafanya mwenyewe tena kwakupenda badala ya kujilazimisha!!
Dont mind him he has a crush on Lizzilicious hahaha!Vipi jombaaaaa?
Kwa baadhi yetu nyie mlio wachafu!
Unajisikiaje kulala bila ya kuoga? na tena kulala na kumkumbatia mpenzi/mke wako huku unanuka jasho
jamani mnatupa karaha,jaribuni kuwa wasafi mkishaanza kuishi na mke/mpenzi wako.
Ukioga sio kwamba ndio unakuwa sharobaro, jirekebisheni.
Subiri niwakumbushe
1-kuoga ni mara 2 kwa siku, asubuhi na jioni
2-mswaki mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni
3-soksi zinavaliwa si zaidi ya siku mbili
4-chupi inabadilishwa mara mbili kwa siku(ila kwa nyie acha iwe mara moja)
5-shati ni mara moja
6-vest mara moja
7-makwapa (ku shave)angalau yakumbuke mara moja kwa mwezi
maana utakuta mtu manywele ya kwapa yamekuwa ya njanoo(blonde) inakuaje?
8-huko kwa mzee pia msisahau kupunguza hivyo vinyweleo
Kufanya usafi wa nyumba tutawasaidia
Ukiwa single utajijua mwenyewe ila ukiwa na mwenzako jaribu kumfikiria kwa afya yake na yako pia maana making love is a dirty game kwahiyo ukichanganya na uchafu wako basi inakuwa kinyaa baada ya ku enjoy unafikiria huyu mtu atashuka saa ngapi.
Dont mind him he has a crush on Lizzilicious hahaha!
Kweli dearest...</p>
<p>Nenda nae bafuni apate raha ya kusuguliwa mgongo kila ukiona anaonyesha uvivu kwenda kuoga...mwishowe atazoea bila hata ugomvi atakua anaoga mwenyewe!Mambo ya kunyoa msaidia...na nguo mpangie!Sidhani kama atavaa chafu wakati umeshamtundikia safi bafuni au umemwekea kitandani!!Mazoea hujenga tabia kwahiyo baada ya muda haya yote atakua anafanya mwenyewe tena kwakupenda badala ya kujilazimisha!!
No worries he'll get over it once he gets a beard lol!Oooh kumbe eeeeh? Ndo maana kamaind...daaah pole jombaaaa CPU
King'asti acha kakako nibembelezwe bana si ndio mapenzi yenyewe hahaha!wifi usije ukanilemazia kakangu!kwetu tumefundishwa kazi na kujitegemea.manake sasa yy atafanya kazi gani,mikono si itakatika!lol!
Vipi jombaaaaa?
Oooh kumbe eeeeh? Ndo maana kamaind...daaah pole jombaaaa CPU