Kwa wanaume

Kwa wanaume

Asha D
Ushahid gani mwingine unaoutaka zaidi??
Au mpaka nikuletee gunia la upepo??
Sipendwi miyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:

Jamani jamani....nakuongelea wewe hubby!
 
Asha D
Ushahid gani mwingine unaoutaka zaidi??
Au mpaka nikuletee gunia la upepo??
Sipendwi miyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:


Mwanaume una hila wewe... ndo umeniita mkuku mkuku huku kwa Mzuanda nikajua umekashifiwa na kutukanwa.... mbona yupo kueleza kua ana kudekeza... what do you want more???
 
Mwanaume una hila wewe... ndo umeniita mkuku mkuku huku kwa Mzuanda nikajua umekashifiwa na kutukanwa.... mbona yupo kueleza kua ana kudekeza... what do you want more???

Hapo sasa....yani sijui nimfanyeje partner‘
 
Chabo ya nini? Walikuwa hadharani ukawashauri waende PM,.. Wamefwata ushauri wako.
Sisi mods tunatakiwa tuhakikishe usalama wa memba hata wanapokuwa PM, hili liko wazi katika JF rules. Halaf pia mimi ndio guardian wa Lizzy inabidi nihakikishe hakanyagi mawaya.
 
Unioe au nikuoe babu weweee....maana hata pa kulaza ubavu huna alafu wanitaka mie wa daraja la juu....embu katafute saizi yako huko acha kunizingua!!
Khaaa! yaani unanipiga kibuti leo kiama? think! Lizzy think!
 
Mwanaume una hila wewe... ndo umeniita mkuku mkuku huku kwa Mzuanda nikajua umekashifiwa na kutukanwa.... mbona yupo kueleza kua ana kudekeza... what do you want more???

Ndio maana nasema huwezi kumsema partner wako
Nikimpenda naambiwa nina hila
Kakupumbaza weee, hata page ya pili hujasoma ujue nani huyo anaedekezwa
Umedakia mwishoni tu ukamkuta anajitetea
 
Ndio maana nasema huwezi kumsema partner wako
Nikimpenda naambiwa nina hila
Kakupumbaza weee, hata page ya pili hujasoma ujue nani huyo anaedekezwa
Umedakia mwishoni tu ukamkuta anajitetea

Embu njoo nikuogeshe acha maneno mengi....
 
du,shati kuvaliwa mara moja,inategemea nture ya kazi na mazingira uliyopo,mtu anayefanya kazi let say iringa kwenye baridi anaweza vaa shati hata siku nne lisinuke jasho,lakini wa dar,anaweza vaa shati masaa mnne tu likachafuka,na vichup ndo usiseme kabisaa!
 
Khaaa! yaani unanipiga kibuti leo kiama? think! Lizzy think!

Haya sasa
Ndo hila zangu hizi Asha D???

Nimesema miyeeeeee
Sipendwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hunielewi
Unadai eti hila, fungua jicho la tatu jamani
Au sema tu unamuogopa Shoga ako
 
Haya sasa
Ndo hila zangu hizi Asha D???

Nimesema miyeeeeee
Sipendwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hunielewi
Unadai eti hila, fungua jicho la tatu jamani
Au sema tu unamuogopa Shoga ako

We bwana usiwe kama wale wanaosoma mstari mmoja tu kwenye biblia alafu wanautumia kinadharia bila kujua kikichokua kinafuata!!!
 
Back
Top Bottom