klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Nadhani watakuwa washahamia PM si unaona hawaonekani ukumbini, acha nitumie uMod wangu kupiga chabo.Wameanza malani eti!!
Nyanizooo???!!
:biggrin1::biggrin1:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani watakuwa washahamia PM si unaona hawaonekani ukumbini, acha nitumie uMod wangu kupiga chabo.Wameanza malani eti!!
Nyanizooo???!!
:biggrin1::biggrin1:
Mume mwenzangu its kwapa lol!
Chabo ya nini? Walikuwa hadharani ukawashauri waende PM,.. Wamefwata ushauri wako.Nadhani watakuwa washahamia PM si unaona hawaonekani ukumbini, acha nitumie uMod wangu kupiga chabo.
Asha D
Ushahid gani mwingine unaoutaka zaidi??
Au mpaka nikuletee gunia la upepo??
Sipendwi miyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:
Nadhani watakuwa washahamia PM si unaona hawaonekani ukumbini, acha nitumie uMod wangu kupiga chabo.
Nadhani watakuwa washahamia PM si unaona hawaonekani ukumbini, acha nitumie uMod wangu kupiga chabo.
unakumbuka ile sredi nilosema wadada wa aina gani napenda?, ushaniturn on ujue?Hahhahaaha.....unalo!!!
unakumbuka ile sredi nilosema wadada wa aina gani napenda?, ushaniturn on ujue?
khaaa! Lizzy, will u marry me?, achana na nyani ngabu , chupi lenyewe anabadilisha mwisho wa mwezi tuHahahhha....utajiju babu wewee!!Nilutani oni umekua tiviwewe?!
khaaa! Lizzy, will u marry me?, achana na nyani ngabu , chupi lenyewe anabadilisha mwisho wa mwezi tu
Asha D
Ushahid gani mwingine unaoutaka zaidi??
Au mpaka nikuletee gunia la upepo??
Sipendwi miyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:
Mwanaume una hila wewe... ndo umeniita mkuku mkuku huku kwa Mzuanda nikajua umekashifiwa na kutukanwa.... mbona yupo kueleza kua ana kudekeza... what do you want more???
Sisi mods tunatakiwa tuhakikishe usalama wa memba hata wanapokuwa PM, hili liko wazi katika JF rules. Halaf pia mimi ndio guardian wa Lizzy inabidi nihakikishe hakanyagi mawaya.Chabo ya nini? Walikuwa hadharani ukawashauri waende PM,.. Wamefwata ushauri wako.
Khaaa! yaani unanipiga kibuti leo kiama? think! Lizzy think!Unioe au nikuoe babu weweee....maana hata pa kulaza ubavu huna alafu wanitaka mie wa daraja la juu....embu katafute saizi yako huko acha kunizingua!!
Mwanaume una hila wewe... ndo umeniita mkuku mkuku huku kwa Mzuanda nikajua umekashifiwa na kutukanwa.... mbona yupo kueleza kua ana kudekeza... what do you want more???
Khaaa! yaani unanipiga kibuti leo kiama? think! Lizzy think!
Ndio maana nasema huwezi kumsema partner wako
Nikimpenda naambiwa nina hila
Kakupumbaza weee, hata page ya pili hujasoma ujue nani huyo anaedekezwa
Umedakia mwishoni tu ukamkuta anajitetea
Khaaa! yaani unanipiga kibuti leo kiama? think! Lizzy think!
Haya sasa
Ndo hila zangu hizi Asha D???
Nimesema miyeeeeee
Sipendwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hunielewi
Unadai eti hila, fungua jicho la tatu jamani
Au sema tu unamuogopa Shoga ako