Kwa wanaume

Kwa wanaume

Mzuanda ukitaka mwanaume asiyeoga aoge kila mara jifunge taulo mwambie tukaoge wote hamna atakaekataa,kuhusu nguo ukiona chafu ziloweke na muandalie zingine,kwapa na hapo chini unaweza kumsaidia akizoea ataendelea mwenyewe.Mswaki mwambie hamna busu mpaka akapige mswaki.
 
Mzuanda ukitaka mwanaume asiyeoga aoge kila mara jifunge taulo mwambie tukaoge wote hamna atakaekataa,kuhusu nguo ukiona chafu ziloweke na muandalie zingine,kwapa na hapo chini unaweza kumsaidia akizoea ataendelea mwenyewe.Mswaki mwambie hamna busu mpaka akapige mswaki.

😛ound:😛ound:
 
Kwa baadhi yetu nyie mlio wachafu!
Unajisikiaje kulala bila ya kuoga? na tena kulala na kumkumbatia mpenzi/mke wako huku unanuka jasho
jamani mnatupa karaha,jaribuni kuwa wasafi mkishaanza kuishi na mke/mpenzi wako.
Ukioga sio kwamba ndio unakuwa sharobaro, jirekebisheni.
Subiri niwakumbushe
1-kuoga ni mara 2 kwa siku, asubuhi na jioni

2-mswaki mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni

3-soksi zinavaliwa si zaidi ya siku mbili

4-chupi inabadilishwa mara mbili kwa siku(ila kwa nyie acha iwe mara moja)

5-shati ni mara moja

6-vest mara moja

7-makwapa (ku shave)angalau yakumbuke mara moja kwa mwezi
maana utakuta mtu manywele ya kwapa yamekuwa ya njanoo(blonde) inakuaje?

8-huko kwa mzee pia msisahau kupunguza hivyo vinyweleo

Kufanya usafi wa nyumba tutawasaidia

Ukiwa single utajijua mwenyewe ila ukiwa na mwenzako jaribu kumfikiria kwa afya yake na yako pia maana making love is a dirty game kwahiyo ukichanganya na uchafu wako basi inakuwa kinyaa baada ya ku enjoy unafikiria huyu mtu atashuka saa ngapi.

He he he he he
Kweli nitajiju.

Hili somo linawafaa akina dada walioolewa zaidi, sio akina kaka waliooa.
Na usafi sio kwa ajiri ya kumridhisha mpenzi/mwenza wako kitandani tu, kwa afya ya kila mtu.
 
Mzuanda ukitaka mwanaume asiyeoga aoge kila mara jifunge taulo mwambie tukaoge wote hamna atakaekataa,kuhusu nguo ukiona chafu ziloweke na muandalie zingine,kwapa na hapo chini unaweza kumsaidia akizoea ataendelea mwenyewe.Mswaki mwambie hamna busu mpaka akapige mswaki.

Kweli dearest...
Nenda nae bafuni apate raha ya kusuguliwa mgongo kila ukiona anaonyesha uvivu kwenda kuoga...mwishowe atazoea bila hata ugomvi atakua anaoga mwenyewe!Mambo ya kunyoa msaidia...na nguo mpangie!Sidhani kama atavaa chafu wakati umeshamtundikia safi bafuni au umemwekea kitandani!!Mazoea hujenga tabia kwahiyo baada ya muda haya yote atakua anafanya mwenyewe tena kwakupenda badala ya kujilazimisha!!
 
Lakin za kwapa za kiume hazinyolewagi
Ni kwa ajiri ya kuongeza mzuka kwa mwanamke wakati wa kunanii
 
Shukran dear naona umewapa vyao nina iman umewagusa walio wengi mpendwa, hebu nyie wanaume jirekebisheni msiwape shida wenzenu

Za kwapa hazinyolewagi jamani
Nyoeni zenu tu

Hiyo ya kuvaa chupi mara 2 kwa siku kwa wanaume haipo
Ngoma inakatwa wiki nzima
 
Kweli dearest...
Nenda nae bafuni apate raha ya kusuguliwa mgongo kila ukiona anaonyesha uvivu kwenda kuoga...mwishowe atazoea bila hata ugomvi atakua anaoga mwenyewe!Mambo ya kunyoa msaidia...na nguo mpangie!Sidhani kama atavaa chafu wakati umeshamtundikia safi bafuni au umemwekea kitandani!!Mazoea hujenga tabia kwahiyo baada ya muda haya yote atakua anafanya mwenyewe tena kwakupenda badala ya kujilazimisha!!
Ndio maana nakupenda kwa kunielekeza taratibu na kunisaidia dearest.
 
Kwa baadhi yetu nyie mlio wachafu!
Unajisikiaje kulala bila ya kuoga? na tena kulala na kumkumbatia mpenzi/mke wako huku unanuka jasho
jamani mnatupa karaha,jaribuni kuwa wasafi mkishaanza kuishi na mke/mpenzi wako.
Ukioga sio kwamba ndio unakuwa sharobaro, jirekebisheni.
Subiri niwakumbushe
1-kuoga ni mara 2 kwa siku, asubuhi na jioni

2-mswaki mara mbili kwa siku,asubuhi na jioni

3-soksi zinavaliwa si zaidi ya siku mbili

4-chupi inabadilishwa mara mbili kwa siku(ila kwa nyie acha iwe mara moja)

5-shati ni mara moja

6-vest mara moja

7-makwapa (ku shave)angalau yakumbuke mara moja kwa mwezi
maana utakuta mtu manywele ya kwapa yamekuwa ya njanoo(blonde) inakuaje?

8-huko kwa mzee pia msisahau kupunguza hivyo vinyweleo

Kufanya usafi wa nyumba tutawasaidia

Ukiwa single utajijua mwenyewe ila ukiwa na mwenzako jaribu kumfikiria kwa afya yake na yako pia maana making love is a dirty game kwahiyo ukichanganya na uchafu wako basi inakuwa kinyaa baada ya ku enjoy unafikiria huyu mtu atashuka saa ngapi.

Mh, kusema ukweli kabisa mengi ya uliyo orodhesha hapo ni magumu kwetu wanaume, labda uwe kama hapo kwenye 'red' Ila na nyie si muwe mnawaambia sio mnajikazatuuuna kuziba pua!!!!
 
wifi usije ukanilemazia kakangu!kwetu tumefundishwa kazi na kujitegemea.manake sasa yy atafanya kazi gani,mikono si itakatika!lol!
Kweli dearest...</p>
<p>Nenda nae bafuni apate raha ya kusuguliwa mgongo kila ukiona anaonyesha uvivu kwenda kuoga...mwishowe atazoea bila hata ugomvi atakua anaoga mwenyewe!Mambo ya kunyoa msaidia...na nguo mpangie!Sidhani kama atavaa chafu wakati umeshamtundikia safi bafuni au umemwekea kitandani!!Mazoea hujenga tabia kwahiyo baada ya muda haya yote atakua anafanya mwenyewe tena kwakupenda badala ya kujilazimisha!!
 
wifi usije ukanilemazia kakangu!kwetu tumefundishwa kazi na kujitegemea.manake sasa yy atafanya kazi gani,mikono si itakatika!lol!
King'asti acha kakako nibembelezwe bana si ndio mapenzi yenyewe hahaha!
 
Back
Top Bottom