Kwa wanawake hili mnakera ila pia kuna baadhi ya wanaume pia

Kwa wanawake hili mnakera ila pia kuna baadhi ya wanaume pia

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Aisee mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama nimepata na tatizo alafu unanionea huruma na haunisaidii hii ipo zaidi kwa wanawake Mwanamke kama huwezi msaidia mume mpenzi wako huna haja ya kumuonea huruma maana haisadii hii tabia wanayo zaidi wanawake.

Nachukiaga sana maneno kibao msaada kimya bora ukaushe tuu useme pole inatosha. na siyo ngojera nyingi. Maana maneno yako hayatanisaidia chochote yaani daah.
 
Aisee mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama nimepata na tatizo alafu unanionea huruma na haunisaidii hii ipo zaidi kwa wanawake Mwanamke kama huwezi msaidia mume mpenzi wako huna haja ya kumuonea huruma maana haisadii hii tabia wanayo zaidi wanawake.

Nachukiaga sana maneno kibao msaada kimya bora ukaushe tuu useme pole inatosha. na siyo ngojera nyingi. Maana maneno yako hayatanisaidia chochote yaani daah.
Hata anaye kupa pole tiyali kakuonea hueuma mimi nikadhani hutaki watu kabisa kwenye matatizo yako kumbe wa pole unawataka 😂😂😂😂😂
 
😏
1000021738.jpg
 
Aisee mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama nimepata na tatizo alafu unanionea huruma na haunisaidii hii ipo zaidi kwa wanawake Mwanamke kama huwezi msaidia mume mpenzi wako huna haja ya kumuonea huruma maana haisadii hii tabia wanayo zaidi wanawake.

Nachukiaga sana maneno kibao msaada kimya bora ukaushe tuu useme pole inatosha. na siyo ngojera nyingi. Maana maneno yako hayatanisaidia chochote yaani daah.
Unataka upewe pesa? Kwanini usiombe kama unataka msaada wa pesa.
 
Back
Top Bottom