Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Pole iambatane na minoti ๐Anataka ukikumbusha unadondosha na ten ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole iambatane na minoti ๐Anataka ukikumbusha unadondosha na ten ๐๐๐
Ndo mchizi boti anataka๐๐Pole iambatane na minoti ๐
Wabinafsi by natureSio hawana uwezo wa kusaidia sometimes wanakua nao ila wanakula ngumu wanasubiri mwanaume ajitokeze asaidie wamsifie.
Ni wepesi wa masikitiko ila wagumu mno kusaidia hata kama huo uwezo anao.
Kazi ipoNdo mchizi boti anataka๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji57]
View attachment 3263145
Wabinafsi hadi sio poaWabinafsi by nature
Ni wabinafsi tu, chao chao, chako chenusijui kwa nini aisew
Acha mujumuisho wa kijinga. Kwani mama na bibi yako ni wanaume?Aisee mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama nimepata na tatizo alafu unanionea huruma na haunisaidii hii ipo zaidi kwa wanawake Mwanamke kama huwezi msaidia mume mpenzi wako huna haja ya kumuonea huruma maana haisadii hii tabia wanayo zaidi wanawake.
Nachukiaga sana maneno kibao msaada kimya bora ukaushe tuu useme pole inatosha. na siyo ngojera nyingi. Maana maneno yako hayatanisaidia chochote yaani daah.