Hata anaye kupa pole tiyali kakuonea hueuma mimi nikadhani hutaki watu kabisa kwenye matatizo yako kumbe wa pole unawataka πππππAisee mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama nimepata na tatizo alafu unanionea huruma na haunisaidii hii ipo zaidi kwa wanawake Mwanamke kama huwezi msaidia mume mpenzi wako huna haja ya kumuonea huruma maana haisadii hii tabia wanayo zaidi wanawake.
Nachukiaga sana maneno kibao msaada kimya bora ukaushe tuu useme pole inatosha. na siyo ngojera nyingi. Maana maneno yako hayatanisaidia chochote yaani daah.
Hivyo ndo hataki kasema unatakiwa kusema "oya pole" πππPole kwa kutopata msaada
π π π na hiko ndo kitu ataambiwa atake asitakeHivyo ndo hataki kasema unatakiwa kusema "oya pole" πππ
sijui kwa nini aisewSio hawana uwezo wa kusaidia sometimes wanakua nao ila wanakula ngumu wanasubiri mwanaume ajitokeze asaidie wamsifie.
Ni wepesi wa masikitiko ila wagumu mno kusaidia hata kama huo uwezo anao.
najua ila tuu sitaki kila mtuu aninikumbusha mbusha ndo kitu ambacho mm sitakiMsaada sio haki yako mkuu.
ila wakikukumbusha na kukusaidia fresh?najua ila tuu sitaki kila mtuu aninikumbusha mbusha ndo kitu ambacho mm sitaki
Unataka upewe pesa? Kwanini usiombe kama unataka msaada wa pesa.Aisee mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama nimepata na tatizo alafu unanionea huruma na haunisaidii hii ipo zaidi kwa wanawake Mwanamke kama huwezi msaidia mume mpenzi wako huna haja ya kumuonea huruma maana haisadii hii tabia wanayo zaidi wanawake.
Nachukiaga sana maneno kibao msaada kimya bora ukaushe tuu useme pole inatosha. na siyo ngojera nyingi. Maana maneno yako hayatanisaidia chochote yaani daah.
Anataka ukikumbusha unadondosha na ten πππila wakikukumbusha na kukusaidia fresh?