Hahahaaaa!! Nikivaa navaa underskirt fupii. Zile ndefu huwa naziona zaidi maeneo ya Pwani, huku kijijini kwetu hakuna hayo mambo.jaman ina maana leo wote hatuvai hvyo? hata wewe espy hujawah vaa hvyo?
Mkuu ukitaka kuwaelewa hawa viumbe utapata ukichaa bure.
Usitulaumu sisi ni maumbile yetu mkuu. Kutamani tumeiumbiwa ila na nyie mpunguze kututamanisha.ahahha na nyie mna tamaa mno kha !
hata mie ninazo tule tufupiii!jana nilikua sehem msiban nahis nilibak mie jaman !tena wameyanyanyua juu had magotini !khaHahahaaaa!! Nikivaa navaa underskirt fupii. Zile ndefu huwa naziona zaidi maeneo ya Pwani, huku kijijini kwetu hakuna hayo mambo.
Yes nimekuelewa sanashoo sijaweza ziona ninazozitaka mie ! lakini umenielewa??
hata mie ninazo tule tufupiii!jana nilikua sehem msiban nahis nilibak mie jaman !tena wameyanyanyua juu had magotini !kha
Kuvaa dera wakati huna chura ni kuzingua!